makwagejo
JF-Expert Member
- Nov 25, 2019
- 361
- 267
Barua ya wazi kwa katibu mkuu CCM,
• Mh Katibu Mkuu kuna tetesi juu ya fedha ya fomu ya nafasi ya ubunge na fedha ya mchango wa matumizi ya ofisi kwa wanaochukua fomu,
• Inasemekana fomu ni 100,000 (laki moja)= ya ubunge lakini kuna fedha ya matumizi ya ofisi 1,000,000=milion moja, jumla gharama zote(1100000) ni milion moja na laki moja,
Mh! katibu mkuu wa CCM tunaomba ufafanuzi juu ya fedha ya matumizi ya ofisi kwa wagombea mbalimbali hii ni kero sana, tunaomba hili chama cha mapinduzi kitoe ufafanuzi zaidi,
Asante;
• Mh Katibu Mkuu kuna tetesi juu ya fedha ya fomu ya nafasi ya ubunge na fedha ya mchango wa matumizi ya ofisi kwa wanaochukua fomu,
• Inasemekana fomu ni 100,000 (laki moja)= ya ubunge lakini kuna fedha ya matumizi ya ofisi 1,000,000=milion moja, jumla gharama zote(1100000) ni milion moja na laki moja,
Mh! katibu mkuu wa CCM tunaomba ufafanuzi juu ya fedha ya matumizi ya ofisi kwa wagombea mbalimbali hii ni kero sana, tunaomba hili chama cha mapinduzi kitoe ufafanuzi zaidi,
Asante;