Katibu Mkuu CCM Taifa, Daniel Chongolo apiga stop "Uchawa" ndani ya UVCCM

KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Kaziiendelee KM, We proud on you
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Crde Chongolo anafanya kazi nzuri sana
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Kaziiendelee Tanzania
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Safi Sana hii
 
KATIBU MKUU WA CCM NDG. CHONGOLO AITAKA UVCCM KUACHA KUWA WAPAMBE BINAFSI WA VIONGOZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewataka viongozi wa mikoa na wilaya kutumia umoja wa vijana wa chama hicho kujenga miundombinu pamoja na miradi ya maendeleo wanayoanzisha kwenye maeneo yao.

Katibu Mkuu ametoa maagizo hayo leo tarehe 15 Novemba, 2021 baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa ambavyo vinajengwa kwa nguvu ya umoja wa vijana wa CCM katika shule ya Bukama, kata ya Kagoma wilayani Muleba, Mkoani Kagera.

Amesema malengo ya kuanzisha umoja wa vijana haikuwa na maana ya kuwatumia vijana hao kwenye mambo ya kutafuta kura za wagombea na kuhangaika na masuala binafsi ya viongozi, bali ni kujenga nchi kwa kujitolea na baadae kupata fursa ya kwenda kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi.

Amesema miaka ya nyuma kazi ya umoja wa vijana ilikuwa ni kujiitolea kujenga miundombinu na kufanya mambo mengine ya maendeleo na baadae kupata fursa ya kwenda jeshini kulitumikia taifa kwa faida yao na nchi kwa ujumla.

“Miaka ya 2000 nyuma, asilimia tisini ya vijana ambao walikuwa wanachukuliwa kwenda jeshini walikuwa wanatokana na umoja wa vijana na ni kwa sababu walikuwa wanajitolea kulitumika taifa kwa kupitia umoja huo,” amesema.

Amesema kuwa kwa sasa vijana wengi wa umoja wa vijana wamekuwa wapambe namba moja ya wagombea na waangaikaji wa mambo binafsi ya viongozi huku wakiacha majukumu yao halisi.

Katika hatua nyingine Ndg. Chongolo amewapongeza umoja wa vijana Wilaya ya Muleba, kwa kujitolea kujenga vyumba vya madarasa huku akimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri pamoja na viongozi wengine wa Muleba kuendelea kuwatumia vijana hao katika kujenga miundombinu mingine kwani tayari wameonesha utayari na uwezo wa kufanya kazi hiyo kwa moyo.

Imetolewa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Uchawa kwenye siasa ni ngumu kuisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom