Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,757
- 71,132
Kama Katibu mkuu was Chama chao CCM kashtuka na kusema siasa za Kuabudu mtu badala ya chama in ushirikina nyie wengine mtashtuka lini?
Natamani sana Dr Bashiru angekuwa na verified account hapa JF na ujumbe huo akawapa waabudu sanamu waliomo humu.
Je, nini kimemtokea hadi Kuabudu mtu (obviously ni kumuabudu Magufuli) aone ni ushirikina?
Je, washabiki wa Kuabudu mtu JF wanajifunza nini?
---
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt Bashiru Ally, amewataka wanachama wa chama hicho kuacha siasa za kuabudu watu badala ya chama, kwani kufanya hivyo ni kutekeleza siasa za kishirikina.
Dkt Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Mabalozi na viongozi wengine wa chama hicho, katika Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera.
"Kuabudu watu ni ushirikina, wanaotaka kutukuzwa na kujifanya wao ndio wanaweza mambo, wanafanya siasa za kishirikina"
Aidha amewataka kuacha kufanyiana fitina ndani ya chama kwa kuwa fitina zina malipo yake, "Siwezi kuwazuia kunywa sumu kama mmeamua kufanya hivyo, lakini siwezi kuogopa kuongea ukweli"
Natamani sana Dr Bashiru angekuwa na verified account hapa JF na ujumbe huo akawapa waabudu sanamu waliomo humu.
Je, nini kimemtokea hadi Kuabudu mtu (obviously ni kumuabudu Magufuli) aone ni ushirikina?
Je, washabiki wa Kuabudu mtu JF wanajifunza nini?
---
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt Bashiru Ally, amewataka wanachama wa chama hicho kuacha siasa za kuabudu watu badala ya chama, kwani kufanya hivyo ni kutekeleza siasa za kishirikina.
Dkt Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Mabalozi na viongozi wengine wa chama hicho, katika Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera.
"Kuabudu watu ni ushirikina, wanaotaka kutukuzwa na kujifanya wao ndio wanaweza mambo, wanafanya siasa za kishirikina"
Aidha amewataka kuacha kufanyiana fitina ndani ya chama kwa kuwa fitina zina malipo yake, "Siwezi kuwazuia kunywa sumu kama mmeamua kufanya hivyo, lakini siwezi kuogopa kuongea ukweli"