kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,694
- 2,132
Sasa Mbona hata huyo Katibu mkuu kafanya jambo lile lile alilolifanya Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa? Kamuagiza igp ampongeze, kwani IGP anawajibika kwa Katibu mkuu wa ccm?
ban inakungoja watanzania hatuna utamaduni Wa matusi nina wasiwasi kama ulilelewa na wazaz kwelPumbavu!
Kwahyo serikali ya ccm inakusanya kodi kutoka kwa nyumbu, ngiri, panya na fisi kulipa mishahara sio?Asihofu kwani hakuna asojua kuwa kila mfanyikazi anolipwa mshahara hulipwa na serekali ya ccm. Hivyo, ni kosa kutokukijali chama kinacho kulipa posho yako
Pumbavu! Wewe mwanangu unanisaliti! Laana inakuhusu!ban inakungoja watanzania hatuna utamaduni Wa matusi nina wasiwasi kama ulilelewa na wazaz kwel
hata hivyo utakuwa na matatizo ya akil
Nani haswa?? Mimi au huyo anayelazimisha watu kuimba??Pumbavu!
Hawajali imetoka wapi hiyo kodi au kaitoa nani hiyo kodi ila ikiisha ingia kwao wao wanasema ni mali yao hivyo wanaweza kuitumia waonavyo waoKwahyo serikali ya ccm inakusanya kodi kutoka kwa nyumbu, ngiri, panya na fisi kulipa mishahara sio?
basi ccm hoyee
Huyo anayelazimisha watu kuimba na wote wanaomuunga mkono!Nani haswa?? Mimi au huyo anayelazimisha watu kuimba??
Kwenye mazur ntakuunga lakini kwa matusi sebho no hakuna mbingu ya watukanaoPumbavu! Wewe mwanangu unanisaliti! Laana inakuhusu!