Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Unaijua vieite wewe?.
Press Conference imeyeyuka?Sina shaka najua amelelewa vyema na Taasisi (Idara) pamoja na Baba yake Mzazi hivyo najua atatema Madini tupu na hatokuwa na Upuuzi kama aliokuwa nao Mpuuzi na Mnafiki aliyemtangulia na aliyemrithi hiyo nafasi Muhimu hasa Kiutendaji ndani ya Chama Tawala (CCM)
Mungu akubariki saanaaaTuseme tu ukweli CCM kabla ya JPM ilikuwa hoi taabani, watu walikuwa wakivaa sare za CCM wanazomewa mitaani. Leo hii Wana CCM wanavaa sare zao kwa kujiachia bila hofu yeyote.
Bashiru alifanya kazi kubwa ya kurudisha Mali za chama zilizokuwa zimeporwa na wajanja wachache ndani ya chama.
Bashiru amewezesha CCM iweze kujitegemea kimapato pasipokutegemea wahisani katika kuendesha Mambo yake ya chama.
CCM chini ya JPM, Bashiru na polepole imekuwa imara na yenye mvuto zaidi kuliko kipindi Cha kikwete.
Mkuu Chahali rudi nyumbani!kumenoga!Mama atakulinda na kina Lowasa wameshazeeka hata team yake ya TISS isha zeeka !!hakuna atakae kufuatilia tena!!njoo tulime Bamia huku tafuta na soko huko scotland kabisa!!!zinaitwa OKRA !!Press Conference imeyeyuka?
Hii hapa MKUTANO WA KATIBU MKUU NA WAANDISHI WA HABARIPress Conference imeyeyuka?
Ninaendelea kusisitiza acha Kunipangia.Wewe unaheshimika Sana humu JF..
Ukipotea njia lazima tukurudishe kwenye umuhimu wako.
Uandishi huo wa kijinga waachie watoto wadogo.
Nilikuwa mbali na Mitandao kwa hii leo.Press Conference imeyeyuka?