Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
- Thread starter
- #21
Tusonge Mbele Kwa Pamoja Bila Kusita.Uteuzi usio na mawaa Apige kazi Katibu
Tusonge Mbele Kwa Pamoja Bila Kusita.Uteuzi usio na mawaa Apige kazi Katibu
Kazi imeanza na kwa hakika mafanikio yanakuja.Katibu Mkuu Apige kazi Wana CCM wapo Tayari kumsikiliza na kumpa sapoti katika kulinda na kutete Chama chao
Umuhimu ni mkubwa wa kupewa taarifa kuhusu suala hili. Wananchi na wanaCCM wana haki ya msingi ya kujua ni mambo gani yanaendelea katika Chama. Mzee Pius Msekwa ni kiongozi Mstaafu wa CCM.Hayo maongezi yao yana umuhimu gani mpaka tuambiwe?! Si ni kama mi navyokutana tu na jirani yangu?!
Otherwise waseme kuna what is so special in it
Kazi Inaendelea. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.Good move Chongolo.
Ndugu Daniel Chongolo ni kiongozi muungwana, mwenye maono na muumini wa siasa safi. Mambo mazuri yanakuja, ameianza kazi vyema."Sisi kwa upande wa chama tunaahidi kufanya siasa safi, zenye mashiko na kubeba mstakabali mwema wa Tanzania katika kuwaunganisha waTanzania bila kujali mstakabali wa vyama vyao." Daniel Chongolo, Katibu Mkuu, CCM.
Huyu jamaa mimi simjui, ila niliposoma hayo maneno, mara moja nikawa na hamu ya kuendelea kujua zaidi juu yake.
Huenda kukawa na tofauti kidogo na uongozi huu mpya ndani ya chama hiki kikongwe.
Ngoja tuangalie mwelekeo wao, kama upo.
Mkuu, ninakushukuru kwa taarifa hiyo.
Mkuu, asante pia kwa taarifa ya undani zaidi.Msekwa ana moto wake mkubwa wa kiume yuko wizara ya mambo ya nje!!! Aliwahi kuwa ubalozi wetu wa Sweden!! Aliwahi pia kuwa kitengo cha protocol wakati marehemu Cisco Mtiro alipokuwa Chief of protocol; utawala wa mkwere!!!
Kama sijakosea mke wake ni Mh. Anna Abdalah. Je! Watoto hao wote ni wa mama huyu?
Mkuu Bulesi, asante sana.Hapana mama yao hao watoto sasa ni marehemu; binti Erica Mwaisango!
Taarifa nzuri sana kwa maendeleo ya chama na USTAWI wa nchiMkuu, ninakushukuru kwa taarifa hiyo.