ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 609
- 1,540
Leo tarehe 28 Mei 2021, Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu Ado amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa wa Sweden Ndugu Janine Alm Ericson.
Mazungumzo hayo ya Waziri huyo na Vyama Vikuu vya Upinzani Tanzania yaliyofanyika Jijini Dar es salaam yalihudhuriwa pia na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa CHADEMA Ndugu Ndugu Rodrick Lutembeka na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Ndugu Anders Sjoberg.
Mazungumzo yaliangazia hali ya kisiasa nchini Tanzania na hatua zinazochukuliwa/zinazopaswa kuchukuliwa kuimarisha demokrasia na utawala bora nchini Tanzania.
Bonifasia Mapunda, Naibu Katibu, Idara ya Mambo ya Nje.
ACT Wazalendo.
28 Mei 2021.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mazungumzo hayo ya Waziri huyo na Vyama Vikuu vya Upinzani Tanzania yaliyofanyika Jijini Dar es salaam yalihudhuriwa pia na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa CHADEMA Ndugu Ndugu Rodrick Lutembeka na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Ndugu Anders Sjoberg.
Mazungumzo yaliangazia hali ya kisiasa nchini Tanzania na hatua zinazochukuliwa/zinazopaswa kuchukuliwa kuimarisha demokrasia na utawala bora nchini Tanzania.
Bonifasia Mapunda, Naibu Katibu, Idara ya Mambo ya Nje.
ACT Wazalendo.
28 Mei 2021.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app