Katibu wa ccm kata amekamatwa kwa kutapeli mamilioni ya fedha kwa kutumia jina la waziri wa utalii Mh Kagasheki habari kamili gazeti la habari leo leo hii ni aibu kubwa chama kuwa na viongozi majambazi,wezi na wanyang'anyi!!
ukiona hata mleta mada anajichanganya inaweza hata chanzo cha habari (Habari leo) kina mushkeri pamoja na nia ya kuleta habari yenyewe!Chama kipi sasa manake heading chadema ndani ccm tuelewe kipi?
we acha kukurupuka unachanganya bia na maandazi?
Katibu wa ccm kata amekamatwa kwa kutapeli mamilioni ya fedha kwa kutumia jina la waziri wa utalii Mh Kagasheki habari kamili gazeti la habari leo leo hii ni aibu kubwa chama kuwa na viongozi majambazi,wezi na wanyang'anyi!!
Katibu wa ccm kata amekamatwa kwa kutapeli mamilioni ya fedha kwa kutumia jina la waziri wa utalii Mh Kagasheki habari kamili gazeti la habari leo leo hii ni aibu kubwa chama kuwa na viongozi majambazi,wezi na wanyang'anyi!!
ccm bwana,mara kajifanya kagasheki,mara katibu mkuu ili mradi kujikosha wao sii matapeli peke yao!