Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Leo ktk mkutano wa chadema kijiji kipya cha Nyabikurungu kata mpya ya Rukukuraijo wilaya ya Kyerwa jimbo la Kyerwa chadema imevuna wanachama 126 kutoka ccm. Hili limetokea kutokana na ubabe wa DIwani fisadi kufanya upendeleo ktk kura zao za maoni.