JIWE hatakubali katiba kama ile iliyopendekezwa ikubalike!!!!! Huoni ametunga sheria ya kujilinda akimaliza muda wake!! Ile rasimu ya katiba iliyopendekezwa na WARIOBA ilipendekeza kiongozi kuwajibika kwa maamuzi waliyofanya wakiwa madarakani!!! Hicho ndicho kilichowatisha wakina Vasco Dagama wakaiweka kwapani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.