Katiba

monongo

JF-Expert Member
Oct 25, 2011
388
64
Katiba mpya jamani ni ya muhimu sana kwa mstakabali wa taifa letu, kwani tunapoelekea ni pabaya kwa mtu mwenye mtazamo wa mbali.
 
Njoni ndugu watanzania wenzangu tuijadili ile ile rasimu ya mzee Warioba kwani ilikuwa nzuri Sana.
 
JIWE hatakubali katiba kama ile iliyopendekezwa ikubalike!!!!! Huoni ametunga sheria ya kujilinda akimaliza muda wake!! Ile rasimu ya katiba iliyopendekezwa na WARIOBA ilipendekeza kiongozi kuwajibika kwa maamuzi waliyofanya wakiwa madarakani!!! Hicho ndicho kilichowatisha wakina Vasco Dagama wakaiweka kwapani.
 
Back
Top Bottom