Katiba yetu inaruhusu uhuru wa mawazo na Watanzania wako huru kujieleza kama wanavyotaka, hawasumbuliwi!

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Tanzania watanzania wako huru kujieleza na kila siku wanaonesha tu katika vyombo vya habari kueleza yaliyo moyoni mwao kwa uhuru kabisa.

Ukiangalia ktk mitandao ya kijamii watanzania wanajieleza sana hisia zao na matatizo yao haswa.

Serikali inasisitiza kila siku kuhusu uhuru wa kujieleza ni kuwa usitukane, usidhihaki wengine,usilete hofu kwa jamii, usilete na kutishia usalama wa Taifa, utoe taarifa na takwimu zilizosahihi kwa umma.

Ukienda kinyume na hayo utaona mkono wa dola ktk kutekeleza sheria.

Tanzania iko huru katika kujieleza sana.
 
Tanzania watanzania wako huru kujieleza na kila siku wanaonesha tu katika vyombo vya habari kueleza yaliyo moyoni mwao kwa uhuru kabisa.

Ukiangalia ktk mitandao ya kijamii watanzania wanajieleza sana hisia zao na matatizo yao haswa.

Serikali inasisitiza kila siku kuhusu uhuru wa kujieleza ni kuwa usitukane, usidhihaki wengine,usilete hofu kwa jamii, usilete na kutishia usalama wa Taifa, utoe taarifa na takwimu zilizosahihi kwa umma.

Ukienda kinyume na hayo utaona mkono wa dola ktk kutekeleza sheria.

Tanzania iko huru katika kujieleza sana.
Kumuombea MGONJWA dua unaiweka sehemu gani?
 
WEWE NI PUPPET
Hakuna puppet Tanzania.Watanzania wako huru sana katika kujieleza fuatilia mijadala katika TV au redio watu wanavyopiga simu, mitandaoni watu wanatoa maoni kwa uhuru kabisa.

Shida ni pale ukienda kinyume na sheria zetu. Kutukana, kudhihaki, kusema uwongo hapo dola itakuwa na wewe hata kama ni chini ya uvungu wa kitanda
 
Tatizo ni kwamba hoja ambayo ni Kweli ni tusi kama Watawala hawapendi, lingine ni kwamba anayedhihaki wengine wakifany kama yeye ni kosa! Makosa pia yanachagua ni yupi amefanya!
 
Tanzania watanzania wako huru kujieleza na kila siku wanaonesha tu katika vyombo vya habari kueleza yaliyo moyoni mwao kwa uhuru kabisa.

Ukiangalia ktk mitandao ya kijamii watanzania wanajieleza sana hisia zao na matatizo yao haswa.

Serikali inasisitiza kila siku kuhusu uhuru wa kujieleza ni kuwa usitukane, usidhihaki wengine,usilete hofu kwa jamii, usilete na kutishia usalama wa Taifa, utoe taarifa na takwimu zilizosahihi kwa umma.

Ukienda kinyume na hayo utaona mkono wa dola ktk kutekeleza sheria.

Tanzania iko huru katika kujieleza sana.
Uhuru gani unauzungumzia dogo?! Ikiwa ndege imeshikwa bond, na mtu anautaarifu umma ukweli huo na sababu zake!! Kosa la mtu huyo ni nini?! Ikiwa mtu anatoa takwimu za hali ya uchumi kuporomoka na kwa uhalisia ni hivyo. Je kosa la huyo mtu ni nini?!

Uhuru unaouzungumzia ni kuwa kasuku kwa yanayompendeza jamaa yako na asiyoyapenda japo ni kweli.
 
Uhuru gani unauzungumzia dogo?! Ikiwa ndege imeshikwa bond, na mtu anautaarifu umma ukweli huo na sababu zake!! Kosa la mtu huyo ni nini?! Ikiwa mtu anatoa takwimu za hali ya uchumi kuporomoka na kwa uhalisia ni hivyo. Je kosa la huyo mtu ni nini?!

Uhuru unaouzungumzia ni kuwa kasuku kwa yanayompendeza jamaa yako na asiyoyapenda japo ni kweli.
Uhuru upo mkubwa sana la msingi ni kufuata utaratibu tu.

Kama huyo aliyetoa taarifa ya ndege kushikiliwa huko Canada ilikuwa ni kazi yake kuutangazia umma sawa.

Na huyo anayetoa taarifa zake za uchumi wakati taarifa za uchumi zinatolewa na mamlaka husika sawa.

Kila mtu akiwajibika mahali pake wala hakuna shida lakini ukiingilia majukumu ya watu wengine utajua nguvu ya dola.
 
Uhuru upo mkubwa sana la msingi ni kufuata utaratibu tu.

Kama huyo aliyetoa taarifa ya ndege kushikiliwa huko Canada ilikuwa ni kazi yake kuutangazia umma sawa.

Na huyo anayetoa taarifa zake za uchumi wakati taarifa za uchumi zinatolewa na mamlaka husika sawa.

Kila mtu akiwajibika mahali pake wala hakuna shida lakini ukiingilia majukumu ya watu wengine utajua nguvu ya dola.
Kama hao unasema wana jukumu la kutoa habari hizo wamekalia habari!!! Wananchi watazipataje?! Ulitegemea mamlaka ukuambie ndege iko bond?! Na sababu zake!!

Unategemea mamlaka ikuambie uchumi umeporomoka?! Thubutu

Uhuru unaousema ni kuwaimbia kwaya na si kutumia akili
 
Kama hao unasema wana jukumu la kutoa habari hizo wamekalia habari!!! Wananchi watazipataje?! Ulitegemea mamlaka ukuambie ndege iko bond?! Na sababu zake!!

Unategemea mamlaka ikuambie uchumi umeporomoka?! Thubutu

Uhuru unaousema ni kuwaimbia kwaya na si kutumia akili
Mamlaka zinatoa taarifa positive na taarifa negative.... Haziwezi kukwepa wala kuficha. Mfano kama pesa imeshuka thamani utafichaje....njaa utafichaje.... Milipuko ya magonjwa utafichaje..... Matokeo mabaya ya mitihani utafichaje... Barabara mbovu utafichaje....
 
Hakuna puppet Tanzania.Watanzania wako huru sana katika kujieleza fuatilia mijadala katika TV au redio watu wanavyopiga simu, mitandaoni watu wanatoa maoni kwa uhuru kabisa.

Shida ni pale ukienda kinyume na sheria zetu. Kutukana, kudhihaki, kusema uwongo hapo dola itakuwa na wewe hata kama ni chini ya uvungu wa kitanda
Ila rais yeye kutukana ruhusa, kuwaita wapinzani ni wasaliti hawastahili kuendelea kuishi ruhusa, kusema uongo uongo na kuvunja katiba na sheria za nchi waziwazi kwake ni sawa?!
 
Tanzania watanzania wako huru kujieleza na kila siku wanaonesha tu katika vyombo vya habari kueleza yaliyo moyoni mwao kwa uhuru kabisa.

Ukiangalia ktk mitandao ya kijamii watanzania wanajieleza sana hisia zao na matatizo yao haswa.

Serikali inasisitiza kila siku kuhusu uhuru wa kujieleza ni kuwa usitukane, usidhihaki wengine,usilete hofu kwa jamii, usilete na kutishia usalama wa Taifa, utoe taarifa na takwimu zilizosahihi kwa umma.

Ukienda kinyume na hayo utaona mkono wa dola ktk kutekeleza sheria.

Tanzania iko huru katika kujieleza sana.
Mungu apishie mbali. Katiba ya Kenya inaruhusu yote hayo angalia kinachotokea. Imagine anayofanya NASA kwa Wajaluo tumwachie UKAWA wafanye Uchaggani. Imagine Raila anavyomtukana Rais na huku Tundulissu aachiwe amtukane.
 
Mamlaka zinatoa taarifa positive na taarifa negative.... Haziwezi kukwepa wala kuficha. Mfano kama pesa imeshuka thamani utafichaje....njaa utafichaje.... Milipuko ya magonjwa utafichaje..... Matokeo mabaya ya mitihani utafichaje... Barabara mbovu utafichaje....
Wanataka watoe wao kwa kupamba na kupata pa kurusha lawama!! Wasichotaka ni kuwaambia wao ni sababu sababishi ya failures
 
Wanataka watoe wao kwa kupamba na kupata pa kurusha lawama!! Wasichotaka ni kuwaambia wao ni sababu sababishi ya failures
Mkuu kuna mambo mengine yako wazi kabisa you can Not hide them.... Hapa kinachogonga ni usahihi wa taarifa tu ndiyo mara nyingi watu hukamatwa na wengine kutumia lugha za matusi kwa viongozi na zaidi wengine wanahamasisha wanainchi kujimobilize ili kutenda jambo lisilo ktk utaratibu hapo vyombo vya dola vitakuweka ndani tu
 
Mungu apishie mbali. Katiba ya Kenya inaruhusu yote hayo angalia kinachotokea. Imagine anayofanya NASA kwa Wajaluo tumwachie UKAWA wafanye Uchaggani. Imagine Raila anavyomtukana Rais na huku Tundulissu aachiwe amtukane.
Hiyo ni Kenya na hapa ni Tanzania na kule ni Marekani
 
Lini imekuwa ni kosa la jinai kukusanyika mahala pa wazi kufanya maombi ya jambo fulani?!
Hujui hiyo comment imetoka wapi unaingilia comment tu au jambo usilolijua.

Matokeo ndiyo hayo unabaki kutukana tu. Unataka kusali nenda kanisani au msikitini. Huna dini baki nyumbani kwako. Unaabudu mizimu nenda msituni au milimani.

Una mikutano ya hadhara ya dini kaombe kibali cha kusanyiko ili uruhusiwe.

Kila jambo lina utaratibu na umewekwa kisheria na kanuni
 
Back
Top Bottom