Katiba yangu ya mwaka 2017

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
15,271
29,879
_KATIBA YANGU YA MWAKA 2017........_

_1.Usinipigie wala kunitxt ujinga wowote ule._

_2.Ukoina nimekukalia kmya fanya yako nina sababu zangu naomba ucniulize coz majibu yangu yatakukela_

_3.Mwaka 2016 nimejifunza mengi yupi ndugu yup I rafiki wa kweli ctak kukumbushwa undugu wala rafiki coz nawajua wote_

_4.Uwe rafiki au ndugu yangu ukiona sishughuliki naww usilazimishe ujue upo kwenye takataka nilizobeba 2016 ni lazima zitupwe_

_Nisameeee kwa usumbufu utakaojitokeza.........._

```Ambiele Kiviele```
 
Kifungu cha Kwanza ibara ya 3a bunge lako la kutunga sheria lipo live mkuu au unabana matumizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom