Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,865
- Thread starter
- #21
ccm itavuna inachopandaYetu macho huku Meya anavuliwa bila Akidi kutimia,Mkurugenzi anaingiza jina la diwani aliye nje nchi,Tanga Madiwani waliotangaza kujiuzulu na kupokelewa na Katibu Mkuu wa ccm na kuhama viti vyao vya upinzani na kuhamia upande wa ccm mkurugenzi anasema hakuliona,hiyo ndio Tamisemi
Sent using Jamii Forums mobile app