Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

Na mashaka na jinsia yako wewe Mwala, maana kila kukicha we ni matuc tuuu, au we mwenzetu sio rizik a.k.a Shoga? Ukijibu tuc basi nitaamini kuwa wewe ni SHOGA

nadhani na wewe n mmoja wao. jipange tu hapo kwa mwenzio mpate DOZE msjali mtapata nafuu mtajitambua
 
utajitambua tu hata kwa bakora mpaka ujitambue. tulia dozeee ikuingie vizuri. kelele zako zinakata dozi inayokuingia.


Ha ha ha ha naona umefufuka!!! Komaaa huo ndo wanaume sio unalialia kwa wana JF waje kukusaidia kuchangia kwa povu ulizoanzisha mwenyewe, back to the game!!! kura ya ndiyo ndo mpango upende usipende itaingia tu mpaka chumbani kwako!!!
 


mwalla & family katiba inayopendekezwa ni kama njaa huwezi kuizuia kwa kulala usingizi!


View attachment 243208

ImVotingNO.jpg

soma hii rasimu ya wananchi alafu ufaninishe na hiyo TOILET PAPER YAKO

View attachment 243215
 

Halafu tuoengeze transition period; baada ya Uchaguzi, tuwe na muda wa kutosha, kama mwezi mmoja kabla ya Rais kuapishwa ili kutoa mwanya kwa malalamiko yote ya uchaguzi kushughulikiwa kabla ya rais mteule hajaapishwa rasmi. Kwa sasa hivi anaapishwa siku mbili tu baada ya uchaguzi na hivyo kuwanyima nafasi watu wenye malalamiko kuhusu uchaguzi kutoa malamiko hayo.


swala msingi ni kujiandikisha na kupiga kura ya ndio wakati ukifika,katiba inayopendekezwa ni ya watanzania wote
 
Jitokeze kujiandikisha wakati utakapofika ili uweze kutumia haki yako ya msingi ya kupiga kura ya maoni kuhusu katiba inayopendekezwa,epuka upotoshaji kwa maslahi ya taifa lako
 
Jitokeze kujiandikisha ili uweze kushiriki kupiga kura ya ndio wakati utakapofika ,kwa maslahi ya taifa letu,katiba inayopendekezwa kwa maslahi ya taifa
 
Hii ndio scenarioninayoiombea itokee,si kwa sababu siipend nchi yangu, bali ifungue macho ya viongozi/wabunge wetu kuona wapi tunakwenda. Sasa hivi ni tabu rais wa zanzibar kuhudhulia vikao vya baraza la mawaziri mwenyekiti akiwa si rais. Je rais wa Zanzibar chini ya chama cha upinzani ataona sababu yeyot ya maana kuhudhuria vikao hivyo? tutamlaumu akikataa, lakini mazingira ya ushirikiano kwa sasa uanategemea CCM kushinda pand zote, na ndio maana muafaka hautekelezeki na CCM watafanya kila ujuvi ili washinde Zanzibar. Losing will be too bitter a pill to swallow.

wanajamvi,hili jambo linaendana na kadhia ilyopo kule zanzibar,ebu tujadiri kidogo
 
Waanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na bunge?

Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha msimamo wetu kwa kufanya maandamano ya amani na mkutano mkubwa kutoa msimamo wetu. Mikataba yote ipelekwe bungeni. Sisi wananchi ndio tunasema...
Kila nchi ina mihili mitatu. Miwili ni ya kuchaguliwa nawananchi na mmoja neutral. Bunge limejaa wachaguliwa, wakiwa chini ya Dpika ambaye anaweza kuwa ni mbunge lakini si lazina. Wabunge pia kuna wengi wa kuteuliwa, huitwa viti maalum. Kazi kubwa ya bunge ni kutunga sheria.

Serkali inaongozwa na Rais, kachaguliwa na watu wote si wa Ukerewe au Moshi Mjini au Monduli peke yake. Anachagua mawaziri, mostly wabunge wa kuchaguliwa. Ana nafasi 10 kikatiba kuteua mawaziri wasio wabunge lakini baada ya kwanza kuwateua ubunge. Kwa nini ukawa wanataka serkali ya ccm igombane na wabunge wa ccm?
 
2005 The following is the official Revised version in English of “KATIBA YA JAMHURI YA

MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977”. This revised edition of the

Constitution of the United Republic of Tanzania incorporates and consolidates all amendments made therein by the Constituent Assembly in 1977 up to the 14th Amendment of 2005 and it is printed and published under section 4 of the Laws Revision Act Chapter 4.
 

Attachments

  • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania _English Version_ 2009.pdf
    507.5 KB · Views: 94

Waanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na bunge?

Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha msimamo wetu kwa kufanya maandamano ya amani na mkutano mkubwa kutoa msimamo wetu. Mikataba yote ipelekwe bungeni. Sisi wananchi ndio tunasema...
 
Back
Top Bottom