Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

Ngekewa unazo mwenyewe unayemuwaza Chenge muda wote huna jipya!!!Katiba inayopendekezwa haizuiliki.

View attachment 241930
ni kweli katiba ya FISADI CHENGE and Co. HAIUZIKI ndo mana hata kuipigia kura imeshindikana.
tena kwa taarifa yako imeshapigwa KIBUTI HAINA MPANGO. ni sawa na zile karatasi mnazotumia MSALANI. CHUKUENI PELEKENI MSALANI MKATUMIE KU....MBIA
 
ni kweli katiba ya FISADI CHENGE and Co. HAIUZIKI ndo mana hata kuipigia kura imeshindikana.
tena kwa taarifa yako imeshapigwa KIBUTI HAINA MPANGO. ni sawa na zile karatasi mnazotumia MSALANI. CHUKUENI PELEKENI MSALANI MKATUMIE KU....MBIA

Umeishiwa hoja hii ni YESSSSS mwanzo mwisho. Utasubiri sana ianguke lakini hutoiona ikianguka ng'oooooo!!
 
Dawa ya wasanii ni kipiga chini hii katiba pendeka kwa kuipa kuraya ''hapana''
Mwalla bado upo na ufupi wako vilevile. Wewe huwa unaibuka tu kama magonjwa ya mlipuko, kipindupindu, ebola na ukosefu wa hekima. Haya naona ndo umetoka usingizini kwa kuamshwa. Haya rudi kalale ili muda wa kuamka ukifika uamke upige mswaki maana kinywa chako kinatoa harufu isiyofaa.

Pole Mwallaaaa!
 
Mzee usie na hoja zaidi ya matuc!! hahahah
Hivi Mwalla huwa analewa kila wakati au ndo maumbile yake kwamba baadhi ya chromosomes zilipungua na ukienda kwenye medulla obulangata na ubongo wa kati navyo havina ushirikiano. Kama yuko hivyo inabidi awaone watumishi wa Mungu wamfanyie maombi.

Naomba umfikishie ujumbe huu Hon. Mwalla.
 
Hivi Mwalla huwa analewa kila wakati au ndo maumbile yake kwamba baadhi ya chromosomes zilipungua na ukienda kwenye medulla obulangata na ubongo wa kati navyo havina ushirikiano. Kama yuko hivyo inabidi awaone watumishi wa Mungu wamfanyie maombi. Naomba umfikishie ujumbe huu Hon. Mwalla.
tatizo nyie watoto hamjitambui. JIFANYENI MAJUHA lkn soon mtanyweshwa dozi na mtajitambua na kuungana na waliojitambua.
 
Mwanakijiji Nimekupata mkuu.

Hayo uliyoelekeza ndio lengo kufikia ingawa sidhani kama litafikiwa katika karne hii kwa nchi kama ya Tanzania. Bunge letu limefeli kutoa changamoto ya kweli. Waandishi wa habari nao ndio hivyo tu. Vyama vya siasa navyo vinachechemea tu. Siasa za Tanzania bwana Mwanakijiji ni ngumu sana. Inahitaji commitment na sacrifice ya hali ya juu sana ambayo hadi sasa hajapatikana mtu wa aina hiyo.


Ila kama Mwalimu alivyosema kuwa upinzani wa kweli ni lazima utokee ndani ya CCM. Nami naamini huenda ipo siku baadhi ya wana CCM wataona na kuyakataa maovu haya ambayo yanatia aibu taifa letu.

Tatizo kubwa ambalo watanzania tunalo ni kukosa moyo wa uzalendo, utaifa na mawazo ya kujenga future ya nchi kama Tanzania. Kama tungekuwa na moyo huu si rahisi kuingiza nchi mikataba ya kuua kabisa nchi.

Ndio maana mie nasema kwa mtaji huu maono ya kuwaletea watanzania wote mema hayawezekani. Maana keki yote ya taifa mnakula nyie wachache akina mwanakijiji.


Acha kulalama wewe ndo tatizo,niambie akili yako inawaza nini hapa
 
Wakati huu si wakati wa kulalamika jama,tumeshapiga hatua kubwa katika kuondoa changamoto mbalimbali zilizobainishwa na sisi wananchi,kupitia katiba inayopendekezwa tumeweza kujenga tanzania mpya,kazi kwetu kuhakiksha kuwa tunajiandaa vzr kujiandikisha kwa ajili ya kura ya maoni wakati ukifika,tatizo ni watu wachache wanaotaka kuhodhi mchakato huu kwa kuwapotosha wananchi,natambua kuwa watanzania wa leo hawadanganyiki kwa siasa na praganda zinazofanywa na watu wachache wasio na nia njema na taifa hili,binafsi nawatilia shaka watu hawa kama ni watanzania au ni raia wa kigeni,nchi hii imefika hapa ilipo kwa sababu ya uzalendo,amani,utulivu na mshikamano uliopo tangu kuasisiwa na taifa hili na viongozi wetu wa kwanza.

kwa sasa jambo la muhimu ni kuhakikisha kuwa tunaisoma katiba inayopendekezwa vzr ili tuielewe na mwisho tufanye uamuzi sahihi utakaowaaibisha wale wanaofanya propaganda za upotoshaji, tanzania kwanza
 
Back
Top Bottom