Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Watanzania wachache mnataka kuiingiza nchi yetu ktk machafuko wakati hili jambo kwetu ni ndoto na haya yote yanasababishwa na uroho wa madaraka sasa kwa taarifa yenu nyie mnaojiita ukawa kuendesha nchi mstarajie hata chembe mtaishia kubwata kama mbwa alieuona mfupa wa nyama ccm ni ccm tu vyama vingine visubir kwanza
Ukute umeandika haya kwa kutumia kompyuta ya mwajiri. Pole sana. Sisi tunaolalamikia mchakato tumekerwa na kuondolewa kipengele cha kutowawajibisha wabunge tunaowachagua. Nyie mnaotaka wabunge std 7 ndo mnaotaka kutuletea fujo.