John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
Kaka Mkandara:
Kama nilivyosema, huu mjadala ni muhimu sana. Nimekuwa kimya kwa kutokuwa na nakala ya katiba yenye mabadiliko yote(ingawa ninayo orodha ya marekebisho yote).
Wajumbe wengine wamependekeza njia ya kutokea, nitazingatia ushauri wao na kuanza kuchangia.
Kwa upande mwingine, nipo kwenye kamati ya vyama na AZISE chache ya kuandaa Mpango Mkakati wa Kudai katiba Mpya. Hii ni nyaraka itakayoelekeza mchakato(process) wa kudai katiba mpya. Hapa naona tunajadili content!
Hivyo nisingependa kuchanganya 'madawa' hapa! Kwa hiyo kama kuna mtu ana maoni yoyote kuhusu nini vyama na AZISE vifanye kudai katiba mpya naomba anitumie kwenye mnyika@yahoo.com ndani ya wiki moja.
Nitarejea kuchangia huu mjadala wa nini kiwemo ndani ya katiba yetu mpya.
JJ
Kama nilivyosema, huu mjadala ni muhimu sana. Nimekuwa kimya kwa kutokuwa na nakala ya katiba yenye mabadiliko yote(ingawa ninayo orodha ya marekebisho yote).
Wajumbe wengine wamependekeza njia ya kutokea, nitazingatia ushauri wao na kuanza kuchangia.
Kwa upande mwingine, nipo kwenye kamati ya vyama na AZISE chache ya kuandaa Mpango Mkakati wa Kudai katiba Mpya. Hii ni nyaraka itakayoelekeza mchakato(process) wa kudai katiba mpya. Hapa naona tunajadili content!
Hivyo nisingependa kuchanganya 'madawa' hapa! Kwa hiyo kama kuna mtu ana maoni yoyote kuhusu nini vyama na AZISE vifanye kudai katiba mpya naomba anitumie kwenye mnyika@yahoo.com ndani ya wiki moja.
Nitarejea kuchangia huu mjadala wa nini kiwemo ndani ya katiba yetu mpya.
JJ