Siasa sio vita na nchi hii ni yetu sote tunaitaji kujadiliana tuone tunaendaje mbele mnasema tu katiba mpya je tuanzie wapi tupitishe ile rasimu ya bunge au tuanzie kwenye rasimu ya warioba mnaanza kumtisha mama eti tutamnyoa acheni ujinga mama msataarabu anatak maridhiano mbona kwa mwenda zake mlitulia acheni ujingaKaa kimya kama huna akili. Siasa siyo hisani ya samia ni haki ya kila raia. Ccm haiwezi kujichinja yenyewe lazima ichinjwe. Unakumbuka uchafuzi wa wa mwaka jan! Ccm walitangazana tu kushinda hata bila kushinda.