Mwanasiasa,
Unajua toka tupate Uhuru hiyo KATIBA imekwisha andikwa mara tatu?... Kufanyiwa marekebisho hiyo mbali na kila mara wananchi wametupwa nje! Kwa hiyo hata sielewi kifanyike kipi ikiwa kila tunapokuwa na matatizo fulani tunandike katiba mpya...
La msingi hasa nadhani wakati huu ni kuwashirikisha wananchi zaidi kuliko ilivyotokea nyuma. Na hasa jamaa zetu wa Unguja ambao binafsi sina imani na wawakilishi wao.
Unajua toka tupate Uhuru hiyo KATIBA imekwisha andikwa mara tatu?... Kufanyiwa marekebisho hiyo mbali na kila mara wananchi wametupwa nje! Kwa hiyo hata sielewi kifanyike kipi ikiwa kila tunapokuwa na matatizo fulani tunandike katiba mpya...
La msingi hasa nadhani wakati huu ni kuwashirikisha wananchi zaidi kuliko ilivyotokea nyuma. Na hasa jamaa zetu wa Unguja ambao binafsi sina imani na wawakilishi wao.