Katiba ya Kweli Itokane na Mchakato Kupitia Bunge-SIYO Serikali ya CCM

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Chombo pekee cha kidemokrasia kinachowakilisha spectrum yote ya wananchi wa Tanzania ni Bunge-period.............. Serikali ya CCM imewasaliti wananchi katika maeneo kadhaa mengi, miongoni mwake ni (1) Kumpachika rais asiyetokana na ridhaa ya wananchi wa TZ (Chaguo la wanachi walio wengi-Slaa 64%, chaguo la CCM walio wachache, Kikwete 27% na ndiye wakamfanya kuwa mfalme wao-watanzania wamebaki bila mfalme!!!!!) (2) Wamevunja katiba ya sasa kwa kupeleka bungeni kinyume na sheria za nchi wabunge 19 batili na kulazimisha kuwa wawakilisi wa watanzania wote katika majimbo husika, (3) Serikali ya CCM wamethubutu hata kumpeleka sophia simba katika bunge la SADC kwa mlango wa uani bila aibu!!!shame!!!!! (4) CCM imeweka utawala wa nchi hii mikononi mwa matajiri fisadi na waganga wa kienyeji na manajimu wenye lengo la kuua utaifa na kufanya taifa hili kuwa shamba la bibi kwa wageni;(5) Kama walivyofanya siri mikataba ya madini na ubinafsishaji na kuangamiza taifa, ya katiba itakuwa zaidi ya agenda za siri ndani ya TOR-hadidu za rejea, (6)Ongezeni ya ziada wana JF-orodha ni ndefu sana!!!!!!!!!!!!!!!!!,
Kwa haya na mengine ya uchungu ndani ya watanzania wenye mapenzi na nchi hii CCM na serikali yake hawana sifa kabisa ya kusimamia zoezi la kihistoria la kuandika katiba mpya-njia ya kweli ni Bunge tu-Mhe Mnyika peleka hoja ya binafsi bunge la Feb 2011; kama Anna Makinda atazima rudi kwa wananchi na jumuia ya kimataifa!!!!!!!!!!!!!!!!
Chombo pekee cha kutengeneza TOR na kusimamia mchakato wote hadi tupate katiba kama ile ya Kenya ni bunge tu!!!!!!!! Bunge jifunzeni Kenya kupunguza muda na format!!!!!
 
Wewe unadhani ni CDM wenye uchungu-sisiemu imekwisha!!!!!!!!!!!!!!!-wanasubiri mtu wa CDM kuwasha moto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Umemsahau mr 6???????????????na timu yake wako mwanakwetu-utashangaa kura za kuunga mkono agenda ya katiba mpya zitakavyokuwa nyingi na kushinda??
Wewe Ngekewa umesahau vigogo wa sisiemu waliokwisha tamka hadharani kuunga mkono hoja ya kuandikwa katiba mpya-Jaji mst Manento (Tume ya Haki za Binadamu ya sirikali hii ya Kikwete), hata Tendwa naye eti (msajili wa vyama- huyu asiyeeleweka msimamo), Jaji Mkuu A Ramadhani, Pinda (waziri mkuu batili), Jaji Warioba (huyu anaboa sana-ni kama hayupo nchini,anasubiri kutengenezewa)- lakini wako wengi sana-tatizo ni mtu wa kuanzisha ngoma bungeni!!!!!!!!!! Mb Mnyika amekwisha toa ahadi kupasa jipu bungeni Feb 2011!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!; Kwanza Kikwete mwenyewe sasa hivi amechoka sana-huku pressure ya mafisadi wanaotaka Tshs 185 billions, huku huku Dr Msomi Slaa anawaelimisha wananchi kuwafungua macho kwamba Kikwete alipata kura 27% (Slaa 64%!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!), Jumuia ya KImataifa na Obama wanazidi kuonyesha taa nyekundu kwa viongozi Afrika wanaomwiga mugabe, kama Bagbo wa Ivory Coast-Kesi za EPA, Richmond na Dowans ndiyo ziinaanza upyaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!(Mb Kafulila amechachamaa bunge la Febr 2011), Dr wa Kweli Slaa anapeleka bunge la Feb hoja za Kuundwa Tume huru kuchunguza matokeo ya uchaguzi wa 31.10.2010, Tume huru ya uchaguzi, Kuandikwa Katiba Mpya!!!!!!!!!!!!!!! Kumbuka bunge la ssa ni la kwanza katika historia ya Tz kuwa na serikali kivuli bungeni-hii itampa shida kweli-ndiyo maana sasa hivi angalia misafara yake yote ina ambulance tayari tayari kwa lo lote!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Je umesahau kashfa za Wikileaks???????????????????????????? Kikwele karibu anapasuka kwa kihoro na hukumu ya nafsi kwa hofu ya kupigwa na majini ya sheikh yahya yaliyokasirika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! He is terribly miserable man-hawezi kuhili masafa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi Butiku bado anaishi nchi hii??????nani anjua habari zake?????????????????????
 
Back
Top Bottom