Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Katika kupitia gazeti la Kenya leo DAILY NATION naona hawa ndugu zetu wa kenya katiba yao ina mwelekeo kama fumo fulani wa USA naona watu wanagombea majimbo yanakuwa na watu wanatakao waongoza kwa majimbo yao na kila jimbo kujitegemea na ukichemka tu kama kiongozi inakula kwako.
Katika kupitia gazeti la Kenya leo DAILY NATION naona hawa ndugu zetu wa kenya katiba yao ina mwelekeo kama fumo fulani wa USA naona watu wanagombea majimbo yanakuwa na watu wanatakao waongoza kwa majimbo yao na kila jimbo kujitegemea na ukichemka tu kama kiongozi inakula kwako.