johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Ni kweli kuna mihimili mitatu kwa mujibu wa katiba ya JMT ambayo ni Executive au Serikali, Bunge na Mahakama.
Katiba imetoa mgawanyo wa majukumu kwa mihimili hii lakini sijaona ibara inayosema kuwa Mihimili hii 3 iko SAWA.
Ukisoma katiba kwa makini utagundua Bunge na Mahakama ziko chini ya serikali.
Rais wa JMT ana kila kitu, NI KWELI!
Katiba imetoa mgawanyo wa majukumu kwa mihimili hii lakini sijaona ibara inayosema kuwa Mihimili hii 3 iko SAWA.
Ukisoma katiba kwa makini utagundua Bunge na Mahakama ziko chini ya serikali.
Rais wa JMT ana kila kitu, NI KWELI!