Katiba ya CHADEMA kuhusu chama Kuingia Mseto na Vyama Vingine

Mkuu kikao gani kiliidhinisha uwepo wa UKAWA

We gamba mbona akiri mdogo? Hebu soma post yangu ndefu hapo juu usipoelewa nenda kamgongee mwenyekiti wako akukabudhi akiri uliyompa akushikie usitusumbue hapa aaalah

BACK TANGANYIKA
 
Mkutano Mkuu ulishakaa na kuamua, CHADEMA kuungana na CCM B?

Kwakweli ccm mnahaha,mbona mmeisakama chadema kwenye huu muungano? Inamana hivyo vingine vilivyo ungana na chadema sio vyama vya upinzani? Au hamuoni kuwa navyo vinawatafuna?kweli mti wenye matunda hauishi kupopolewa mawe.
 
Kelele zenu Interahamwe zisizoisha kuhusu UKAWA, kwa taarifa yenu, kinyume na azma yenu ya kuubomoa umoja huu, zinazidi tu kuwafungua macho washirika wa umoja huu, na kuona umuhimu zaidi wa kuuimarisha umoja huu, ambao umewafanya msilale usiku na mchana, kwa namna ambayo haijapata kutokea!!! Ukweli ni kwamba umoja huu umewa-"take by surprise", hamkuutegemea, na hivyo hamkuwa mmejipanga. Kwa sasa it is too late, hamna la kufanya, cha kufanya ni kujiandaa tu kisaikolojia, kwa mabadiliko yanayokuja hivi karibuni, ambayo mtalazimishwa na UKAWA kuyakubali, mpende msipende!!! Your old trick of "divide and rule", has been rendered null and void by God Himself !!!!! UKAWA GO GO GO GO !!!! You have hit the bull's eye !!!!!!!
 
UKAWA imekuwa mwiba sana kwa magamba, mbona huu Muungano wa katiba ilianzia tangu wakati wa sheria yenyewe ya kuunda tume , na baraza kuu huko lilikua na kuazimia kuwa kwa suala la katiba ushirikiano ni muhimu? Hamkumsikia enyi mnaolialia machozi ya mamba leo?

Eti ati nk strategy ya kupandikza mgogoro ili ACT Ipate ntoke vipi .....
 
UKAWA imekuwa mwiba sana kwa magamba, mbona huu Muungano wa katiba ilianzia tangu wakati wa sheria yenyewe ya kuunda tume , na baraza kuu huko lilikua na kuazimia kuwa kwa suala la katiba ushirikiano ni muhimu? Hamkumsikia enyi mnaolialia machozi ya mamba leo?

Eti ati nk strategy ya kupandikza mgogoro ili ACT Ipate ntoke vipi .....

bahati nzuri au mbaya ACT-Tanzania inatangazwa zaidi na wanachadema kuliko hata wa ACT wenyewe
 
bahati nzuri au mbaya ACT-Tanzania inatangazwa zaidi na wanachadema kuliko hata wa ACT wenyewe
Mwaka wa shetani huu , ACT imekosa Kiki ya kuondoka baada ya UKAWA sasa ni kutuma tu vijana twake kuandika uongo na uzushi, tafuta maazimio ya baraza kuu la chadema la mwaka 2012 kuhusu katiba mpya , lile lililounda kamati ndogo ya kukutana na Rais kuhusu kuundwa kwa tume ya mabadiliko ya katiba , wakati sheria ilipokuwa hot Bungeni utapata majibu.....l
 
Mkutano Mkuu ulishakaa na kuamua, CHADEMA kuungana na CCM B?
Hivi ni kweli Zitto anatakiwa ACT kwa sababu hii au Kitila Mwongo?
Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
 
9.3 Chama Kuingia Mseto na Vyama Vingine
9.3.1 Chama kinaweza kuunda mseto na Chama au vyama vingine vyenye madhumuni na
malengo yanayofanana na Chama ili kuimarisha uwezo wa kushinda uchaguzi mkuu au
wa serikali moja ya mtaa kwa lengo la kuunda utawala wa pamoja.
9.3.2 Chama kinaweza kuunda ubia na vyama vingine katika kuendesha miradi ya kiuchumi
ama huduma.
9.3.3 Chama kinaweza kuungana na Chama ama vyama vingine kuunda Chama kipya.
9.3.4 Uamuzi kuhusu vipengere 9.3.1 na 9.3.3 utafanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa na
kuhusu kipengere 9.3.2 na Baraza Kuu.

Hakuna cha mkutano uliokaa wala nini eti mijitu yoote hiyo inaburuzwa DJ!

ZITTO kawatuma?
Ikitokea vyombo vya habari vikamuuliza tena hiyo ndiyo iwe kauli yake ili kuendelea kumfanya mkuu aliyepo asihangaike na hivyo kuja kummaliza kirahisi. Aidha katika utekelezaji wa mkakati kama tutakavyoeleza hapo baadaye, tunayemtaka atajitenga mbali asionekane hata kuwa karibu na sisi. Vikao vyetu na yeye vitafanyika mara chache sana na mahali pa faragha kupita kiasi ikiwezekana hata nchi jirani.
Mkakati huu hautatakiwa kupatikana kwenye komputa zaidi ya tatu yaani ya mchapaji ambaye ni M3, ya M3 na ya MK mwenyewe. Hata hivyo email zitakazotumika kusafirisha mkakati huu kutoka kwa M3 kwenda kwa M1 hadi kwa MK hazitakuwa zile za kawaida za hao watu bali mpya kabisa zilizofunguliwa kwa makusudi haya tu na kwa majina fictitious. Aidha kila atakayekuwa na mkakati huu kwenye computer yake anatakiwa kuliwekea file hilo password ili hata mtu wa karibu naye anayeweza kufungua computer yake asiweze kulifungua file hilo. Pia e-mail address hazitatolewa kwa sms bali kwa kupiga na kuambiana spelling za address.
 
Hakuna cha mkutano uliokaa wala nini eti mijitu yoote hiyo inaburuzwa DJ!
Nini tutakuwa tunakifanya sasa? Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye!
Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.

Mmefanikiwa kwa ID mpya?
 
9.3 Chama Kuingia Mseto na Vyama Vingine
9.3.1 Chama kinaweza kuunda mseto na Chama au vyama vingine vyenye madhumuni na
malengo yanayofanana na Chama ili kuimarisha uwezo wa kushinda uchaguzi mkuu au
wa serikali moja ya mtaa kwa lengo la kuunda utawala wa pamoja.
9.3.2 Chama kinaweza kuunda ubia na vyama vingine katika kuendesha miradi ya kiuchumi
ama huduma.
9.3.3 Chama kinaweza kuungana na Chama ama vyama vingine kuunda Chama kipya.
9.3.4 Uamuzi kuhusu vipengere 9.3.1 na 9.3.3 utafanywa na Mkutano Mkuu wa Taifa na
kuhusu kipengere 9.3.2 na Baraza Kuu.

Mseto/Kuungana = kushirikiana? Mwenye kamusi ya TUKI atusaidie. BTW UKAWA ni Umoja wa Katiba ya Wananchi. na sio Umoja wa Vyama vya Upinzani (UVYAU)
 
Mseto/Kuungana = kushirikiana? Mwenye kamusi ya TUKI atusaidie. BTW UKAWA ni Umoja wa Katiba ya Wananchi. na sio Umoja wa Vyama vya Upinzani (UVYAU)

Hujasikia kama wamesema watasimamisha mgombea mmoja wa uraisi na katika majimbo watakuwa wanaachiana?
 
Hii geresha tu ukweli ukachanganya vyama vyenye misimamo na katiba tofauti bila kuwepo na utaratibu wa katiba itakayoongoza huu muungano .Na walikurupuka hawajatushirikisha sisi wanachama. Hilo lakwao hao viongozi
 
Hujasikia kama wamesema watasimamisha mgombea mmoja wa uraisi na katika majimbo watakuwa wanaachiana?
Hiyo kauli ndio inawafanya Magamba kuji.n.y.e.a.n.yea. Lakini mbona Baraza Kuu lilishatoa baraka kipindi cha 2012 wakati sheria ya mabadiriko ya katiba inachakachuliwa mpk wakachaguliwa wawakiloshi wa vyama kumwona Rais katika ziara mnayoiita yavkwenda kunywa juice ikulu. Tatizo CCM mnajitoa ufahamu kisha mnalishwa sumu mkazitete hata hamjui mnakurupuka tu na viroja kwa msaada wa wasaliti from ACt. Kazi mnayo na ni mwanzo tu mnahaha bado saaana Ukawa go Shetani wa Lumumba ashindwe
 
Back
Top Bottom