Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Huwa ninakutamani kweli, ila naogopa ban. Nitamwomba Mod atoe siku moja ya ban-free ili watu tutoe yaliyopo moyoni kwa madodoki.Kama walijua kuwa Wabunge ndio wawakilishi wetu na wao pekee wangetosha kutuwakilisha, Walikuja na Mitakataka yao mingine ikachanwa kule Zanzibar na Mabomu yakapigwa pale Dodoma, walidhani wale wote waliowaita kuchangia mawazo yao ni Wabunge! Kwa hiyo tuseme kwamba waliochana ule muswaada mbofu mbofu pale Zanzibar ni Wabunge! Kama walijua wabunge wanatosha kuwawakilisha wananchi, sasa waliuleta Mswaada wa kwanza kwetu tuuchangie kama sisi ni kina nani!
Watu wengine wapo kiutumwa (kikazi zaidi), wanalipwa na nape kwa kuhesabiwa post walizoandika hapa JF, kwahiyo usihangaike nao.