Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
- Thread starter
- #21
Chempo hili la lugha nalo neno!. Sheria zetu zote bado zinatungwa Kiibgereza!. Wakoloni wametufanya vibaya sana kwenye mental slavery!.Hawa jamaa bwana walikuwa watatu lakin hawaelez kitu kinachoeleweka......mswada uliandikwa kingreza hao wananchi walijadili vipi?,,wananchi waliomba uandikw kiswahili ili waweze kuchangia,,,vilaza wamefanya hivyo na kuendelea hatua nyingine....
Wanaambiwa watafasiri ili wananchi waweze kuujadili, wanautafasiri kwa ajili ya wabunge kuhadili!.
Wanabodi, nawashauri tuachane na hii biashara ya nini kilitakiwa kufanyika lakini hakikufanyika tuipe tume ushirikiano tupate katiba bora na sio bora katiba!.