Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
- Thread starter
- #81
Msitukanane, pigeni kura tupate picha.
Upepo huu utapita tu. Lazima upite. na ukapita spiidi utaondoka na mtu ati.Si maoni tu, huu ni upepo utapita.
Ok put your poll (vote) https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...udi-kwanza-ndipo-rasimu-ya-katiba-ifuate.html..Tanganyika irudi na mchakato ukomee hapo.
Kwa sababu sasa hivi tuna Sugu na Komba bungeni tuwaachie hilo. Wanaweza wakatoa mchakachuo wa bongo flavor na modern Taarab.Kweli swala la Muungano linachanganya, ni bora likazungumzwa na mambo yakawa bayana.
Sasa jamani naombeni mnisaidie hivi Tz mbona wimbo wa taifa siuelewi? sababu uliopo hauna asili ya either Tanganyika or Zanzibar! Ni wimbo wa South Africa uliotungwa na Msauzi. Ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, Nkosi Sikelel' iAfrika.
Jamani mbona Wabunge hawahoji? Hivi sis hatuwezi kuwa na National Anthem ya kikwetu?
Nakubali. Je hii sio kwa sababu muundo ni mbaya?kwa wabara muungano hauna faida bali hasara tupu kila siku madai kutoka upande mmoja yanatekelezwa na wanasiasa wa ccm kwa kasi ya ajabu! kwa sababu ya malengo ya kisiasa ya wanasiasa wa ccm tumechoka.
Ni kweli, umeona. nafikiri tatizo hatuna mwelekeo, wala hatujui mkakati mzuri wa kupata katiba nzuri. Kukusanya maoni ni kitu kizuri. Likini kuna kitu kinaitwa milestone katika mchakato, hiki kinakosekana. Hii inatokakana na kudhani watanzania wote wameshakubali serikali mbili. Kama itagundulika wanataka serikali tatu 2014, sijui kama hiyo rasimu ya katiba itapatikana. Ni ubishi tu wa wabunge wa CCM.Tatizo la WaTanganyika wanaongea saaana vitendo hamna kitu.