Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Nadhani Mungu kawaongoza hawa wazee,ili wapate kuongea Na dr ili awezekueleza ni nini wanataka,maana kwa sasa naamini dr slaa na dr kikwete mwenye ushawishi mkubwa au mwenye kuongea yalio mioyoni mwa watanzania wengi ni Dr slaa,ndio maana wakamwita ili akawaeleze wanachotaka kwa niaba ya watanzania walio wengi.