mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Dk Slaa ndiye rais wa nchi hawa wazee hawawezi kwenda kuleee kwa yule wa pale magogoni
Mkuu, yawezekana kawatuma! Maana kimya chake kikuu, yawezekana kina kishindo.
Dk Slaa ndiye rais wa nchi hawa wazee hawawezi kwenda kuleee kwa yule wa pale magogoni
Mkuu MTM nimelilia hili muda mrefu kuwa tunao wazee wanaoheshimika sana,hata kama Ccm hawawaheshimu wengine bado tunawaheshimu lakini tunawataka wasiishi historia bali kwavile wapo hai lazima waendelee na mapambano bila upendeleo! hawa wakisema watasikilizwa! Tatizo ni waoga sana wanauma na kupuliza!sidhani kama salim na warioba wana influence kwenye ccm ya sasa yenye historical politicians kama stella manyanya, pindi chana, william ngejela, anne killango, john komba, mwigulu, rosemary kirigini, shyrose bhanji, chenge, dewji, na nape
dawa chungu ndo inayotibu mapema...mwanzo mwisho
Ikifika wakati licha ya uduni wetu ndani ya chama, maisha ya kawaida ya wajuva jasho, na nitakuwa bado kijana wa makamo by then inshaalah tutajitokeza hapa ndani kwa majina yetu, barabarani kumsihi na kumuomba dkt. Salim atusaidie japo kwa 5yrs kisha atuache salama...... Naamini ndie mbadala sahihi wa jakaya.
wapi Pius Msekwa?....maana ndiyo aliyeitunga hii ya sasa.
Hapo jopo lingetimia iwapo angeongezeka mtu mmoja, Livingstone Lusinde wa Mtera
Kuna mambo huwa wana ambiwa ni ya binafsi ndiyo maana wako pembeni....Nilishangaa sana kuwa CCM ni chama kikongwe jee kinakosa watu wachache wenye uelewa wa mambo?kumbe bado wapo ila wamekaa pembeni hawajishughulishi na ujinga ufanywao kila siku na watendaji