kwa jinsi mswaada mzima wa katiba ulivyo hivi sasa ni kwamba rais ndio anaratibu mjadala mzima wa katiba na mwisho
atatuambia ni katiba gani ndio inatufaa kwa kutumia tume yake ya uchaguzi aliyoitengeneza yeye mwenyewe lakini kinachotakiwa kufanyika ni kwa WATANZANIA KUMWAMBIA RAIS NINI CHA KUFANYA NA SIYO YEYE KUWAANDALIA UTARATIBU WA NINI WANANCHI WAKIFANYE. KWAHIYO USHAURI: WATANZANIA INABIDI TUFANYE SHIME KUAKIKISHA MAMLAKA YA WANANCHI INARUDISHWA NA HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUAKIKISHA HILO ZAIDI YA KUDAI HAKI YETU KWA KUTUMIA MEANS ZOTE IKIWEMO MAANDAMANO YASIYO NA MWISHO.
atatuambia ni katiba gani ndio inatufaa kwa kutumia tume yake ya uchaguzi aliyoitengeneza yeye mwenyewe lakini kinachotakiwa kufanyika ni kwa WATANZANIA KUMWAMBIA RAIS NINI CHA KUFANYA NA SIYO YEYE KUWAANDALIA UTARATIBU WA NINI WANANCHI WAKIFANYE. KWAHIYO USHAURI: WATANZANIA INABIDI TUFANYE SHIME KUAKIKISHA MAMLAKA YA WANANCHI INARUDISHWA NA HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUAKIKISHA HILO ZAIDI YA KUDAI HAKI YETU KWA KUTUMIA MEANS ZOTE IKIWEMO MAANDAMANO YASIYO NA MWISHO.