Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
- wewe na spouse wako inabidi mtambue hakuna cheating katika ndoa yenu. Ila kuna taboo. Hairuhusiwi mpenzi wako awe na mpenzi wa same sex na yeye. Hapo anakuwa amecheat na una haki ya kuwaka moto. Hii ni kuepusha msije mka fall kwa mtu mmoja na kujenga chuki kati yenu. Kwa maneno mengine klorokwini haruhusiwi kumtazama kwa jicho la na kuhusuda Kaunga wangu.
- Wewe na Spouse wako inabidi mtambue watoto hawatakiwi kuhusishwa wala kujua. Mmoja wenu akifanya hivo anatakiwa afunguliwe mashtaka na kupigwa ban ya sex kwa adhabu sio chini ya miezi 6.
:grouphug:
Kaizer kwel haikubaliki au unanitisha sbb uko interested? teh teh teh.
nipe ushahidi nakuja kuungama unipe na ratiba ya maungamo kabitha.
Erotica, ntarudi...
Last edited by a moderator: