Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
kutokana na kifungu flani (maloya wengine ni wakupe tukiwapa wataenda kukibadilisha itatolewa tu kwa ruhusa ya loya wangu). Open marriage inaruhusiwa kabisa kwa wanandoa kwa kuzingatia vigezo na masharti.
Vipengele mama vya Open marriage.
- Wewe na Spouse hauruhusiwi kuwa na wivu katu. Kama mna wivu haruhusiwi kuingia kwenye hii ndoa. Ni lazima mzingatie hilo toka mwanzo na mtambue sharing is caring.
- Wewe na spouse mkubaliane kabisa na msaini mkataba kama mimi la my loya klorokwini tulivofanya for future reference. Mapenzi pembe tatu yana madhara yanaweza enda mrama. Hio doc ni ushahidi wenu unawalinda wote wawili. Sharia msumeno, lazima kuwe na ushahidi.
- Wewe na Spouse wako mnaruhusiwa kuwa na mpenzi mwengine kwa makubaliano kati yenyu wawili. Huyo mpenzi anaweza hata kuhusishwa kwenye shughuli zenu za faragha tegemeana na makubaliano yenu wahusika.
-Wewe na spouse wako haruhusiwi kubanjuka na huyo mpenzi mwengine zaidi ya siku tatu mfululizo. Anaruhusiwa kukumbushia kama kaona patamu sana mara kwa mara hadi pale yeye mwenyewe atapochoka ila haruhusiwi kuweka kambi hapo. Akiweka kambi adhabu yake not short of kuua.
-Wewe na Spouse wako mnaruhusiwa kuchukua pesa zenu za akiba mkikwa na mpenzi mpya hasa wakati wa raha ila isizidi thamani ya robo ya hio account yenu. Ila hii chance ana uhuru wa kuitumia mara moja kwa mwaka tu! Hairuhusiwi pale utapopata nafasi ya kuchukua tena baada ya mwaka kutumia na mpenzi huyo huyo.
- Wewe na Spouse wako mna haki ya kuomba likizo isiyo zaidi ya mwezi mmoja ikitokea mmemkifu na kakuchoka na mnataka damu mupya.
- Wewe na Spouse wako hamna haki ya kukataa kufanya wakati wowote ule ambao unahitaji kufanya SEX. Haijalishi mpo wapi maadamu hamvunji sharia ya mahala mnataka kufanyia.
- Wewe na Spouse wako mna haki ya kukuomba kutongozea pale anapokwama kwa kutumia advantage kuwa yeye na Yule anayemtaka mko same sex. Ni rahisi kumuingia.
- wewe na spouse wako inabidi mtambue hakuna cheating katika ndoa yenu. Ila kuna taboo. Hairuhusiwi mpenzi wako awe na mpenzi wa same sex na yeye. Hapo anakuwa amecheat na una haki ya kuwaka moto. Hii ni kuepusha msije mka fall kwa mtu mmoja na kujenga chuki kati yenu. Kwa maneno mengine klorokwini haruhusiwi kumtazama kwa jicho la na kuhusuda Kaunga wangu.
- Wewe na Spouse wako inabidi mtambue watoto hawatakiwi kuhusishwa wala kujua. Mmoja wenu akifanya hivo anatakiwa afunguliwe mashtaka na kupigwa ban ya sex kwa adhabu sio chini ya miezi 6.
- Hakuna divosi kwenye open marriage. Hamna sababu za msingi za kushindwa kuishi pamoja. Hii ndio hasa for beta or wesi till death duz u apart.
pendaneni, epusheni divosi kwenye ndoa zenu, chagueni open marriage. less stress.
mwaaaaaaah! teh teh teh :grouphug:
Vipengele mama vya Open marriage.
- Wewe na Spouse hauruhusiwi kuwa na wivu katu. Kama mna wivu haruhusiwi kuingia kwenye hii ndoa. Ni lazima mzingatie hilo toka mwanzo na mtambue sharing is caring.
- Wewe na spouse mkubaliane kabisa na msaini mkataba kama mimi la my loya klorokwini tulivofanya for future reference. Mapenzi pembe tatu yana madhara yanaweza enda mrama. Hio doc ni ushahidi wenu unawalinda wote wawili. Sharia msumeno, lazima kuwe na ushahidi.
- Wewe na Spouse wako mnaruhusiwa kuwa na mpenzi mwengine kwa makubaliano kati yenyu wawili. Huyo mpenzi anaweza hata kuhusishwa kwenye shughuli zenu za faragha tegemeana na makubaliano yenu wahusika.
-Wewe na spouse wako haruhusiwi kubanjuka na huyo mpenzi mwengine zaidi ya siku tatu mfululizo. Anaruhusiwa kukumbushia kama kaona patamu sana mara kwa mara hadi pale yeye mwenyewe atapochoka ila haruhusiwi kuweka kambi hapo. Akiweka kambi adhabu yake not short of kuua.
-Wewe na Spouse wako mnaruhusiwa kuchukua pesa zenu za akiba mkikwa na mpenzi mpya hasa wakati wa raha ila isizidi thamani ya robo ya hio account yenu. Ila hii chance ana uhuru wa kuitumia mara moja kwa mwaka tu! Hairuhusiwi pale utapopata nafasi ya kuchukua tena baada ya mwaka kutumia na mpenzi huyo huyo.
- Wewe na Spouse wako mna haki ya kuomba likizo isiyo zaidi ya mwezi mmoja ikitokea mmemkifu na kakuchoka na mnataka damu mupya.
- Wewe na Spouse wako hamna haki ya kukataa kufanya wakati wowote ule ambao unahitaji kufanya SEX. Haijalishi mpo wapi maadamu hamvunji sharia ya mahala mnataka kufanyia.
- Wewe na Spouse wako mna haki ya kukuomba kutongozea pale anapokwama kwa kutumia advantage kuwa yeye na Yule anayemtaka mko same sex. Ni rahisi kumuingia.
- wewe na spouse wako inabidi mtambue hakuna cheating katika ndoa yenu. Ila kuna taboo. Hairuhusiwi mpenzi wako awe na mpenzi wa same sex na yeye. Hapo anakuwa amecheat na una haki ya kuwaka moto. Hii ni kuepusha msije mka fall kwa mtu mmoja na kujenga chuki kati yenu. Kwa maneno mengine klorokwini haruhusiwi kumtazama kwa jicho la na kuhusuda Kaunga wangu.
- Wewe na Spouse wako inabidi mtambue watoto hawatakiwi kuhusishwa wala kujua. Mmoja wenu akifanya hivo anatakiwa afunguliwe mashtaka na kupigwa ban ya sex kwa adhabu sio chini ya miezi 6.
- Hakuna divosi kwenye open marriage. Hamna sababu za msingi za kushindwa kuishi pamoja. Hii ndio hasa for beta or wesi till death duz u apart.
pendaneni, epusheni divosi kwenye ndoa zenu, chagueni open marriage. less stress.
mwaaaaaaah! teh teh teh :grouphug:
Last edited by a moderator: