Kwa tulipo sasa katiba no muhimu sana kwa Tanzania. Magufuli anatakiwa kupongezwa kwa kuongeza uelewa juu ya umuhimu Wa katiba mpya.Naamini wananchi wanaweza kushiriki vyema kukusanya maoni ya katiba mpua kulikp mwaka 2014.
Napendeleza yafuatayo
1. Iache mijadala ya katiba itawale kwenye jamii
2. Mijadala hii iongozwe na vyama siasa na mashirika mengne
3.Sehemu ya tozo za simu ipelekwe kwa asaysi na vyama vya siasa ili kupata machapisho mengi ya katiba
Napendeleza yafuatayo
1. Iache mijadala ya katiba itawale kwenye jamii
2. Mijadala hii iongozwe na vyama siasa na mashirika mengne
3.Sehemu ya tozo za simu ipelekwe kwa asaysi na vyama vya siasa ili kupata machapisho mengi ya katiba