jakarason1974
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 103
- 50
Upinzani bila Katiba Mpya Msitegemee Kuishinda CCM na wakubali Kuachia Madaraka... Huu ndio Muda wa Kudai Katiba Mpya..... Tatizo la Viongozi wengi wa ccm ni kwamba wanategemea siasa kuendesha Maisha yao, Ukiwaondolea Siasa Wanachama wengi wanakuwa omba omba maana hawana Kitu kingine cha kufanya..