Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Sikuamini masikio yangu niliposikiliza katika runinga ya TVZ mmoja wa wachangiaji akitoa maneno mazito sana kwa jazba akiuita mswada huo kuwa ni batili na kutoa tahadhari kwa wabunge wa Zbr katika bunge la muungano kwamba wakiupitisha mswada huo wasirudi ZBR!!!!!!!!!!!!!!??????????? Hapo patamu!!!??????????? Waliomfuta kadhalika kwa jazba walikuwa na msimamo ule ule kwamba ni batili na haustahili kuendelea kujadiliwa!!!! Safi sana!!!!!!!!
Mradi wa Loliondo umefulia kwa Kikwete na serikali yake ambao walikusudia kuwazezetesha waTz ili mswada huu upite kirahisi ili sisiemu iendelee kuwa "kidumu ccm"; POLE !!!!!!!!
Sisi tunasubiri kombani apitishe kwa rushwa nzito na vitisho kwa wabunge wa sisiemu ili tuingie mitaani wote kwa pamoja nchi nzima tuone hao polisi wao kama watafanya kama Arusha!!??? THUBUTU!!!!!!!!!!!!! Idumu Pipoooos Pawaaaaaaaaa-kiboko cha sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mradi wa Loliondo umefulia kwa Kikwete na serikali yake ambao walikusudia kuwazezetesha waTz ili mswada huu upite kirahisi ili sisiemu iendelee kuwa "kidumu ccm"; POLE !!!!!!!!
Sisi tunasubiri kombani apitishe kwa rushwa nzito na vitisho kwa wabunge wa sisiemu ili tuingie mitaani wote kwa pamoja nchi nzima tuone hao polisi wao kama watafanya kama Arusha!!??? THUBUTU!!!!!!!!!!!!! Idumu Pipoooos Pawaaaaaaaaa-kiboko cha sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!