simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Lengo ni kupata katiba ya wananchi na siyo ya CCM. Njiani kuelekea katiba mpya CCM imeweka kila aina ya vipingamizi,vikwazo , fitina, vitisho,rushwa na ghilba. Tusife moyo lengo ni moja tu-katiba ya Wananchi. Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Zanzibar.