Usichanganye Rasimu na Katiba PENDEKEZWA.Katiba ya waeioba ipo.. isifanyiwe amendment yoyote ile
Rasimu ya Judge Warioba ndo ilikuwa na maoni ya wananchi, Alipoikabidhi wahuni walichakachua hivyo Katiba PENDEKEZWA ni mbovu kuliko hii tulionayo sasa.
Tunataka JUDGE Warioba ailete Ile RASIMU kabla ya kukabidhi ndo Tuanzie mjadala hapo.
Ameeeeen.