Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Source gazeti la mzawa
Katika kuelekea kupata katiba mpya waumini wa dini ya kiislam jijini mwanza wamesema katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa mambo ambayo yanahusu dini ya kiislam mambo yafuatayo lazima yaanguzwe katika katiba ili kulinda na kutetea haki za waislam kwa ujumla;
1. Mahakama ya kadhi iwe kisheria na serikali igharamie shughuri zote.
2. Tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislam ya OIC
3. Kuwapo kwa vyama vya kisiasa vya kidini
Katika kuelekea kupata katiba mpya waumini wa dini ya kiislam jijini mwanza wamesema katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa mambo ambayo yanahusu dini ya kiislam mambo yafuatayo lazima yaanguzwe katika katiba ili kulinda na kutetea haki za waislam kwa ujumla;
1. Mahakama ya kadhi iwe kisheria na serikali igharamie shughuri zote.
2. Tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislam ya OIC
3. Kuwapo kwa vyama vya kisiasa vya kidini