Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
1. Raisi aliyepita ni wa Bara, na wa sasa ni Bara, atakaekuja atatoka Bara au Visiwani?
2. Raisi wa sasa ni Muislamu, na ajaye atakuwa Muislamu kwa kuwa awamu ya tatu itakuwa ngumu kuacha kuwapa nafasi Wazanzibari ambao wengi ni waislamu? kulinda muungano?
3. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni ya mseto, ya bara ni ya chama kimoja, iwapo mseto utapatikana bara kwa chama tofauti na mseto wa Zanzibar hii itamaanisha nini?
Napendekeza yafuatayo ili kunusuru mgogoro mgumu utakao tokana na hojaji hizo hapo juu:
1. Serikali ya Muungano iwe ya serikali tatu,
a. Revolutionary state of Zanzibar, and
b. the State of Tanganyika,
c. United Republic of Tanzania
Ambazo zote ziko semi autonomous isipokuwa tu kwa maswala ya ulinzi na usalama pamoja na uhamiaji (isipokuwa polisi), Afya, Revenues, Bank and monetary (kama kuna kitengo kingine muhimu mtaniongezea). Kutakuwa na bunge mojala Jmahuri ya Muungano wa Tanzania, na mabaraza mawilii, Baraza la wawakilishi la Tanganyika na baraza la wawakilishi wa Zanzibar.
2. Kuwe na Mgombea binafsi ili watu kama Mheshimiwa Augustine Ramadhani ambaye ni Mkristo, akiridhia anaweza kugombea Uraisi na kunusuru mgogoro wa sasa.
3. Madaraka ya raisi yatenganishwe na madaraka ya chama, na Rais asisimamie shughuli za chama iwapo atachaguliwa, ili awajibike kwa utendaji wake. Pia itasaidia raisi kuhangaika kutumia muda mwingi kusimamia interest za chama badala ya interest za Kitaifa. Na hii itasaidia sana kupunguza mgogoro pale ambapo serikali inabidi kuwa ya mseto, ukizaingatia nguvu ya upinzani inaongezeka.
4. Wajumbe wa tume ya uchaguzi wa serikali ya Muungano wawe wa kuomba nafasi hiyo na kupitishwa na Bunge, na Bunge linaweza kupendekeza majina yao iwapo hawatajitokeza na kupitishwa na Bunge.
5. Nafasi ya Uwaziri na Ukatibu Mkuu zote ziwe za kuomba na ziwe proffessional post na sio political. Ila bado Waziri apewe nafasi ya kuingia Bungeni.
6. Nafasi za Wakuu wa Mkoa na Wilaya wabaki ili kulinda interest za Raisi, na Raisi apewe mamlaka ya kuwateua, hawa ndio watakaokuwa administrative officers na wanatoa balanmced supervissions na kusimamia presindents orders and wishes in respective jurisdictions.
Tutaendelea....
2. Raisi wa sasa ni Muislamu, na ajaye atakuwa Muislamu kwa kuwa awamu ya tatu itakuwa ngumu kuacha kuwapa nafasi Wazanzibari ambao wengi ni waislamu? kulinda muungano?
3. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni ya mseto, ya bara ni ya chama kimoja, iwapo mseto utapatikana bara kwa chama tofauti na mseto wa Zanzibar hii itamaanisha nini?
Napendekeza yafuatayo ili kunusuru mgogoro mgumu utakao tokana na hojaji hizo hapo juu:
1. Serikali ya Muungano iwe ya serikali tatu,
a. Revolutionary state of Zanzibar, and
b. the State of Tanganyika,
c. United Republic of Tanzania
Ambazo zote ziko semi autonomous isipokuwa tu kwa maswala ya ulinzi na usalama pamoja na uhamiaji (isipokuwa polisi), Afya, Revenues, Bank and monetary (kama kuna kitengo kingine muhimu mtaniongezea). Kutakuwa na bunge mojala Jmahuri ya Muungano wa Tanzania, na mabaraza mawilii, Baraza la wawakilishi la Tanganyika na baraza la wawakilishi wa Zanzibar.
2. Kuwe na Mgombea binafsi ili watu kama Mheshimiwa Augustine Ramadhani ambaye ni Mkristo, akiridhia anaweza kugombea Uraisi na kunusuru mgogoro wa sasa.
3. Madaraka ya raisi yatenganishwe na madaraka ya chama, na Rais asisimamie shughuli za chama iwapo atachaguliwa, ili awajibike kwa utendaji wake. Pia itasaidia raisi kuhangaika kutumia muda mwingi kusimamia interest za chama badala ya interest za Kitaifa. Na hii itasaidia sana kupunguza mgogoro pale ambapo serikali inabidi kuwa ya mseto, ukizaingatia nguvu ya upinzani inaongezeka.
4. Wajumbe wa tume ya uchaguzi wa serikali ya Muungano wawe wa kuomba nafasi hiyo na kupitishwa na Bunge, na Bunge linaweza kupendekeza majina yao iwapo hawatajitokeza na kupitishwa na Bunge.
5. Nafasi ya Uwaziri na Ukatibu Mkuu zote ziwe za kuomba na ziwe proffessional post na sio political. Ila bado Waziri apewe nafasi ya kuingia Bungeni.
6. Nafasi za Wakuu wa Mkoa na Wilaya wabaki ili kulinda interest za Raisi, na Raisi apewe mamlaka ya kuwateua, hawa ndio watakaokuwa administrative officers na wanatoa balanmced supervissions na kusimamia presindents orders and wishes in respective jurisdictions.
Tutaendelea....