Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wadau hili mnalionaje kama likiwepo kwenye katiba mpya?
Moja wapo ya matatizo yanayoikumba sekta ya elimu ni kutelekezwa na viongozi,watoto wao wanasoma shule za nje ya nchi au shule binafsi za pesa nyingi jhapa nchini. Nafikiri hili likiingia katika katiba mpya litatusaidia kukuza elimu na kuboresha shule za serikali,mbona kina makongoro walisoma shule hizi?
Mi napendekeza iingie katika katiba ili tuwajue viongozi wenye mapenzi na nchi yetu.
Moja wapo ya matatizo yanayoikumba sekta ya elimu ni kutelekezwa na viongozi,watoto wao wanasoma shule za nje ya nchi au shule binafsi za pesa nyingi jhapa nchini. Nafikiri hili likiingia katika katiba mpya litatusaidia kukuza elimu na kuboresha shule za serikali,mbona kina makongoro walisoma shule hizi?
Mi napendekeza iingie katika katiba ili tuwajue viongozi wenye mapenzi na nchi yetu.