Katiba Mpya ni suala la CHADEMA peke yao?

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,934
3,805
Vimbelembele au vihio vya CCM vinasambaza itikadi mbaya sana eti kila kitu cha Katiba wanakielekeza kwa CHADEMA.

Faida ya Katiba mpya ni faida kwa Tanzania wote tena jambo hili halihusiani na chama chochote, kama Mtanzania Mzalendo ni haki yako kutaka au kudai au Kutodai.

Suala la katiba mpya tuseme tu linaongozwa na uwepo wa vyama vingi vya siasa, kwani akina Warioba, Polepole na wengine mfano wao ni wa kutoka CCM na waliunga Katiba mpya kwa marefu na mapana.

Kuikataa Katiba mpya hakutoomiza wale wanayoitaka bali hata hao CCM ambao wana mrengo wa kuikataa, kuichelewesha na hata kuizodoa, hata Rais majukumu mengi aliyokuwa nayo ni mzigo lawama zote zinamuangukia yeye na ndio ukaona wengi wa viongozi waliopita huishia jela pale utawala utapo angukia kwa chama chengine.

Samia usikubali kuingia katika mtego wa kuichelewesha au kuikataa mchakato wa Katiba umalizwe maana tiyari rasimu ipo na haina chenga.
 
Vunja vunja kwanza KINGA za viongozi.

Baada ya hapo utaiona hata hii ya zamani nzuri.
 
Hao ni wachumia tumbo. Akitokea Rais wa CCM akakazia umuhimu wa katiba mpya, watampigia makofi
Kabla ya kuisha 2021 mambo yatabadilika na wataanza kuhubiri katiba mpya, same to corona walikomaa hakuna lakini leo wanashangilia, tunaongozwa ni kundi la watu wa hovyo sn.
 
Kwa upande mmoja naweza kusema kusema suala la katiba mpya kwa sasa ni la CHADEMA tu licha ya kwamba umuhimu, uzuri, athari na hasara wa katiba mpya ni kwa wananchi wote
 
Vimbelembele au vihio vya CCM vinasambaza itikadi mbaya sana eti kila kitu cha Katiba wanakielekeza kwa CHADEMA,
Faida ya Katiba mpya ni faida kwa watanzania wote tena jambo hili halihusiani na chama chochote,kama Mtanzania Mzalendo ni haki yako kutaka au kudai au Kutodai.

Suala la katiba mpya tuseme tu linaongozwa na uwepo wa vyama vingi vya siasa,kwani akina warioBa ,Polepole na wengine mfano wao ni wa kutoka CCM na waliunga Katiba mpya kwa marefu na mapana.

Kuikataa Katiba mpya hakutoomiza wale wanayoitaka bali hata hao CCM ambao wana mrengo wa kuikataa,kuichelewesha na hata kuizodoa, hata Rais majukumu mengi aliyokuwa nayo ni mzigo lawama zote zinamuangukia yeye na ndio ukaona wengi wa viongozi waliopita huishia jela pale utawala utapo angukia kwa chama chengine.

Samia usikubali kuingia katika mtego wa kuichelewesha au kuikataa mchakato wa Katiba umalizwe maana tiyari rasimu ipo na haina chenga.

Kuna tathmini inayowatambua wanaopinga katiba mpya:

IMG_20210708_150328_418.jpg


 
Vimbelembele au vihio vya CCM vinasambaza itikadi mbaya sana eti kila kitu cha Katiba wanakielekeza kwa CHADEMA.

Faida ya Katiba mpya ni faida kwa Tanzania wote tena jambo hili halihusiani na chama chochote, kama Mtanzania Mzalendo ni haki yako kutaka au kudai au Kutodai.

Suala la katiba mpya tuseme tu linaongozwa na uwepo wa vyama vingi vya siasa,k wani akina Warioba, Polepole na wengine mfano wao ni wa kutoka CCM na waliunga Katiba mpya kwa marefu na mapana.

Kuikataa Katiba mpya hakutoomiza wale wanayoitaka bali hata hao CCM ambao wana mrengo wa kuikataa, kuichelewesha na hata kuizodoa, hata Rais majukumu mengi aliyokuwa nayo ni mzigo lawama zote zinamuangukia yeye na ndio ukaona wengi wa viongozi waliopita huishia jela pale utawala utapo angukia kwa chama chengine.

Samia usikubali kuingia katika mtego wa kuichelewesha au kuikataa mchakato wa Katiba umalizwe maana tiyari rasimu ipo na haina chenga.
Title yako nlifkir ungesema mbona chadema Tu ndio wanabwekea katiba wakati wengine wamekaa kimyaaa. I mean taasisi nyingine nyingiiii au hata wananchiii. Au wengi uelewa mdogo wa importance ya katiba mpya??! au serekali yaweza kukushuulikia wewe taasisi kimbelembele.
 
Vimbelembele au vihio vya CCM vinasambaza itikadi mbaya sana eti kila kitu cha Katiba wanakielekeza kwa CHADEMA.

Faida ya Katiba mpya ni faida kwa Tanzania wote tena jambo hili halihusiani na chama chochote, kama Mtanzania Mzalendo ni haki yako kutaka au kudai au Kutodai.

Suala la katiba mpya tuseme tu linaongozwa na uwepo wa vyama vingi vya siasa, kwani akina Warioba, Polepole na wengine mfano wao ni wa kutoka CCM na waliunga Katiba mpya kwa marefu na mapana.

Kuikataa Katiba mpya hakutoomiza wale wanayoitaka bali hata hao CCM ambao wana mrengo wa kuikataa, kuichelewesha na hata kuizodoa, hata Rais majukumu mengi aliyokuwa nayo ni mzigo lawama zote zinamuangukia yeye na ndio ukaona wengi wa viongozi waliopita huishia jela pale utawala utapo angukia kwa chama chengine.

Samia usikubali kuingia katika mtego wa kuichelewesha au kuikataa mchakato wa Katiba umalizwe maana tiyari rasimu ipo na haina chenga.
Cdm ule ujinga wenu wa kutafuta kiki kwa njia ya katiba hatutaki wananchi nendeni mkalime aisee
 
Cdm ule ujinga wenu wa kutafuta kiki kwa njia ya katiba hatutaki wananchi nendeni mkalime aisee

Mkuu kulikuwa na uzi hapa:


Unaweza jiangalia uone kama tathmini hiyo ni sahihi?

IMG_20210708_150328_418.jpg


Bwana ROBERT HERIEL niko katika kuhakiki tathmini yako.
 
Vimbelembele au vihio vya CCM vinasambaza itikadi mbaya sana eti kila kitu cha Katiba wanakielekeza kwa CHADEMA.

Faida ya Katiba mpya ni faida kwa Tanzania wote tena jambo hili halihusiani na chama chochote, kama Mtanzania Mzalendo ni haki yako kutaka au kudai au Kutodai.

Suala la katiba mpya tuseme tu linaongozwa na uwepo wa vyama vingi vya siasa, kwani akina Warioba, Polepole na wengine mfano wao ni wa kutoka CCM na waliunga Katiba mpya kwa marefu na mapana.

Kuikataa Katiba mpya hakutoomiza wale wanayoitaka bali hata hao CCM ambao wana mrengo wa kuikataa, kuichelewesha na hata kuizodoa, hata Rais majukumu mengi aliyokuwa nayo ni mzigo lawama zote zinamuangukia yeye na ndio ukaona wengi wa viongozi waliopita huishia jela pale utawala utapo angukia kwa chama chengine.

Samia usikubali kuingia katika mtego wa kuichelewesha au kuikataa mchakato wa Katiba umalizwe maana tiyari rasimu ipo na haina chenga.
Kama mnajua sio suala lenu pekee basi pelekeni hoja kwa Watanzania na sio kuibinafsisha kama yenu (na wanaharakati wa mtandaoni) pekee
 
Back
Top Bottom