The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Katiba ni muongozo wa kitaifa wa namna maisha ya raia na wanachi wanapaswa kujitawala. Inakuwaje rais Samia anataka kuwa ndiyo msemaji wetu na mtu mwenye kutaka kuamua katiba yetu iwe vipi na ipatikane lini? sipendi kuwa na viongozi wenye mlengo wa kitemi. Aache muda wa sasa utupatie katiba.
#katiba mpya ni sasa
The lost
#katiba mpya ni sasa
The lost