Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi sio muhimu sana kwa wana-CHADEMA

Wana bodi,

Katika pita pita zangu niki tazama hali ya siasa nchini ikiwemo kesi inayo mkabili Freeman Mbowe na mbinu zinazo tumiwa na wana CHADEMA kudai katiba mpya, nime jiuliza maswali ambayo labda nitapata ufafanuzi zaidi. Je, mabadiliko ya katiba yatawa saidia wana CHADEMA? Je, katiba ya sasa hivi ndio sababu ya chama cha CCM kuwa na support kubwa nchini kwote? Je tume huru ya uchaguzi ina manufaa kwako kama unashindwa uchaguzi kwa kishindo?

Katiba inaweza isiwe priority sana kwa mtanzania wa kawaida katika kipindi hiki ambacho serikali inajaribu kufikisha huduma mbalimbali kwao. Vile vile karatasi tu haiwezi kutosha kuwatoa wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi mpaka kufikia hatua ya wao kuwa piku CCM. Kama ningekuwa natoa alama kwa vyama vya siasa ningewapa CHADEMA asilimia 5 na wana CCM asilimia 95.

Ukweli wa mambo ni kwamba Chama cha Mapinduzi bado kina kubalika sana kwa watanzania kuliko chama kingine chochote na wana CHADEMA wana hitaji mbinu mbadala kuwafanya wafikie hatua hiyo hiyo. Karatasi hii inayo gombaniwa sio kila kitu kwa wana CHADEMA bali kuwafikia wananchi kwa sera na mipango mizuri ndio muhimu zaidi kwao.
Sijui kama unaamini hata moja kwenye hili andiko lako. Ila kama ni ili mkono uende kinywani basi sawa kwani mimi ni nani mpaka nikupinge ili hali hali siwezi kukuweka ndani na kukulisha. Maisha magumu jamani, mtu mpaka anamua kuwa kama huyu mleta mada usifanye mchezo.
 
Katiba ni takwa la wananchi na wàlishakusanya maoni
Yao Kwa kila Kundi ieleweke hivyo kuwa wananchi wanaitaka
Siamini kwamba wananchi wenyewe wangeweza kufanya uana harakati huu bila ya viongozi wa CHADEMA kuhusika. Wana CHADEMA ndio chombo kinacho tumika kudai katiba mpya na tume huru.
 
Sijui kama unaamini hata moja kwenye hili andiko lako. Ila kama ni ili mkono uende kinywani basi sawa kwani mimi ni nani mpaka nikupinge ili hali hali siwezi kukuweka ndani na kukulisha. Maisha magumu jamani, mtu mpaka anamua kuwa kama huyu mleta mada usifanye mchezo.
Changia mada, acha longo longo
 
Wana bodi,

Katika pita pita zangu niki tazama hali ya siasa nchini ikiwemo kesi inayo mkabili Freeman Mbowe na mbinu zinazo tumiwa na wana CHADEMA kudai katiba mpya, nime jiuliza maswali ambayo labda nitapata ufafanuzi zaidi. Je, mabadiliko ya katiba yatawa saidia wana CHADEMA? Je, katiba ya sasa hivi ndio sababu ya chama cha CCM kuwa na support kubwa nchini kwote? Je tume huru ya uchaguzi ina manufaa kwako kama unashindwa uchaguzi kwa kishindo?

Katiba inaweza isiwe priority sana kwa mtanzania wa kawaida katika kipindi hiki ambacho serikali inajaribu kufikisha huduma mbalimbali kwao. Vile vile karatasi tu haiwezi kutosha kuwatoa wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi mpaka kufikia hatua ya wao kuwa piku CCM. Kama ningekuwa natoa alama kwa vyama vya siasa ningewapa CHADEMA asilimia 5 na wana CCM asilimia 95.

Ukweli wa mambo ni kwamba Chama cha Mapinduzi bado kina kubalika sana kwa watanzania kuliko chama kingine chochote na wana CHADEMA wana hitaji mbinu mbadala kuwafanya wafikie hatua hiyo hiyo. Karatasi hii inayo gombaniwa sio kila kitu kwa wana CHADEMA bali kuwafikia wananchi kwa sera na mipango mizuri ndio muhimu zaidi kwao.
YANGEKUWA YANAKUBALIKA WASINGEOGOPA TUME HURU NA KATIBA MPYA,WASINGEOGOPA MIKUTANO NA MAKONGAMANO

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom