Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Pole sana nduguNa nyie muone aibu kila kitu mpaka mshinikizwe!Hamkuzaliwa kutawala milele.
Pole sana nduguNa nyie muone aibu kila kitu mpaka mshinikizwe!Hamkuzaliwa kutawala milele.
Pole sana ndugu
Mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini wapinzani hawalioni hilo, wao wana 'ngangana na serikali tatu !!!!!!
UKAWA ebu angalieni swala la​ TUME HURU YA UCHAGUZI.
Sasa huo Mswada unapelekwa lini Bungeni? Au ni ktk Bunge hili linaloendelea huko Dodoma? Je kambi ya upinzani Bungeni haioni kwamba inachezewa akili kwa kuahidiwa vitu visivyotekelezwa? (Maana walianza na kutokuahirisha BmK) Je kambi ya Upinzani Bungeni mnachukua hatua gani kwa hili? Je kuendelea kulalamika ni hatua muafaka ya kuendelea kuchukua?. Kama msingi mkuu wa Amani kuelekea Uchaguzi mkuu uko ktk Tume hii (Maana ndiyo inayosimamia chaguzi zote kuanzia, Udiwani,Ubunge mpaka urais) Je Kambi ya upinzani Bungeni haioni kuwa huu ni wakati muafaka wa KUILAZIMISHA Serikali kuchukua hatua madhubuti juu ya jambo hili?
hakuna TUME HURU YA UCHAGUZI!!! nyoka mwenye makengeza na wenzake walishindwa kabisa!!! ni tume ya raisi na wala sio huru..
Ingekuwa sio huru hao wabunge wa vyama vya upinzani walioko bungeni wangeingia?
Ingekuwa sio huru hao wabunge wa vyama vya upinzani walioko bungeni wangeingia?
haiko huru kwa maana inaundwa na watu waliochaguliwa na raisi tu!!!
Rais alishatamka kuwa ataangalia uwezekano wa katiba mpya kutumika katika uchaguzi ujao kwa kuitisha bunge lipitishe sheria mapema ili uchaguzi ujao ikiwezekana ufanyike chini ya katiba mpya kama itapita.Hilo lipo.lakini je umeambiwa kwamba hiyo Katiba inayopendekezwa itakapo pita hapo hapo itaanza kufanya kazi?