Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kama chama kikuu cha upinzani sisi tunahitaji nini kwa sasa? Katiba mpya ingetupatia tume huru na tungeshinda chaguzi kihalali.
Chaguzi zikifanyika hatushiriki hii ni kwa sababu tulishasema hatutashiliki chafuzi za wezi wa kura
Sasa chama chetu cha Chadema kipokipo tu na hakina muelekeo zaidi ya kukusanya michango kidijitali na kwa kujoini ze cheini.
Chaguzi zikifanyika hatushiriki hii ni kwa sababu tulishasema hatutashiliki chafuzi za wezi wa kura
Sasa chama chetu cha Chadema kipokipo tu na hakina muelekeo zaidi ya kukusanya michango kidijitali na kwa kujoini ze cheini.