everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Kwa hali ilivyo sasa hivi uteuzi wa uwaziri unafunganishwa na ubunge kwa maana kwamba ili uwe waziri ni lazima uwe mbunge ( i stand to be corrected). Ila kwa mawazo yangu, hii inazuia watu walio watendaji wazuri wasiingie kuwa mawaziri simply because hawana uwezo wa kuwashawishi wananchi kuwachagua kua wabunge au hawataki kuwa wabunge.
Kwa hali ilivyo sasa hivi, mawaziri wengi wameonekana kuwa na utendaji mbovu wakati kuna watu wenye uwezo tu ambao wangeweza kusimama kuwa mawaziri lakini sio wabunge. Je hamuoni kwamba kuna umuhimu hili swala likafikiriwa katika utengenezaji wa katiba mpya ili wasio wabunge waweze kuchaguliwa kuwa mawaziri?
Nini maoni yenu wa JF?
Kwa hali ilivyo sasa hivi, mawaziri wengi wameonekana kuwa na utendaji mbovu wakati kuna watu wenye uwezo tu ambao wangeweza kusimama kuwa mawaziri lakini sio wabunge. Je hamuoni kwamba kuna umuhimu hili swala likafikiriwa katika utengenezaji wa katiba mpya ili wasio wabunge waweze kuchaguliwa kuwa mawaziri?
Nini maoni yenu wa JF?