Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi na wataaalamu
.
Wanasiasa, wanasheria na watu wengi hivi sasa kilio chetu ni katiba mpya. Wengi tuna refelct mapungufu ya NEC kama pungufu mojawapo la katiba ya sasa.Naomba kuelimishwa juu ya mambo mengine
Naomba tujadili kwa details ni mambo gani mengine tunaona katiba mpya itacover ambayo katika kaiba tuliyonayo sasa kuna mapungufu
Nawasilisha
.
Wanasiasa, wanasheria na watu wengi hivi sasa kilio chetu ni katiba mpya. Wengi tuna refelct mapungufu ya NEC kama pungufu mojawapo la katiba ya sasa.Naomba kuelimishwa juu ya mambo mengine
Naomba tujadili kwa details ni mambo gani mengine tunaona katiba mpya itacover ambayo katika kaiba tuliyonayo sasa kuna mapungufu
Nawasilisha