mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Jamani ebu nisaidieni. Kama maswali ya muungano hayajadiliwi, je wanzibari wanafanya nini kwenye tume? Maana wao wana katiba yao ya nchi ya Zanzibar tayari. Je wao wamewekwa kusaidia Tanganyika kutengeneza katiba yao?
Naomba ufafanuzi kwa hili!
Naomba ufafanuzi kwa hili!