The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,383
- 12,969
Ni takiribani miezi minne tangu Rais atuahidi katiba mpya. Kwa jinsi kimya kilivyo inaelekea mwaka utaisha hatujasikia kitu.
Zanzibar washaanza kujipanga namna ya kuchangia kwenye katiba kupitia Zanzibar legal society, chama cha waandishi wa habari n.k.
Kwa jinsi upepo ulivyo inaelekea Wazanzibar hawako tayari kuwa na muungano wa design ya 1964. Kama watafanikiwa kwa hilo kuna kila dalili za Tanganyika kurudi......!!
Je JK ansoma upepo wa siasa za Tanzania ...............ili yai la Muungano lisimpasukie mikonono au?
Kuna wakati watu waliandika humu kuwa JK kasema hatakubali CCM au Muungano vifie mikononi mwake.
Anyway, swali ni kwamba je mchakato wa katiba utaanza lini?? Au ndiyo SUBIRA YAVUTA HERI???
Zanzibar washaanza kujipanga namna ya kuchangia kwenye katiba kupitia Zanzibar legal society, chama cha waandishi wa habari n.k.
Kwa jinsi upepo ulivyo inaelekea Wazanzibar hawako tayari kuwa na muungano wa design ya 1964. Kama watafanikiwa kwa hilo kuna kila dalili za Tanganyika kurudi......!!
Je JK ansoma upepo wa siasa za Tanzania ...............ili yai la Muungano lisimpasukie mikonono au?
Kuna wakati watu waliandika humu kuwa JK kasema hatakubali CCM au Muungano vifie mikononi mwake.
Anyway, swali ni kwamba je mchakato wa katiba utaanza lini?? Au ndiyo SUBIRA YAVUTA HERI???