TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
WANABODI Naomba tuliangalie hili jambo ili kama inafaa iwe ni hoja ambayo inatakiwa iwe sheri ndani ya katiba mpya ijayo.Nimetoa thread hii baada ya kupata kizungumti kwenye rushwa iliyotembea/inayoendelea Arumeru pamoja na jitihada za TAKUKURU. KWA NINI TUSIWEKE WAKATI AMBAPO UJERUMANI WALIWEZA HADI CHAMA KIKAFUTWA? Misri chama cha H Mbarak kimefutwa na kutaifisha mali zake zote.YOTE HAYA YANAWEZEKANA KWA KATIBA MURUA.