johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,566
Eid El Adha!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Niwakumbushe ndugu zangu watanzania bara na visiwani kwamba Chadema au chama chochote cha upinzani hakiwezi kuleta katiba mpya.
Katiba mpya italetwa na CCM katika muda muafaka.
Nawasalimu kwa jina la JMT!